07
Harmonize na Libianca kwenye ngoma moja
Mkali wa Bongo Fleva, Rajab Kahali, ‘Harmonize’ yupo mbioni kuachia video ya ‘Side Niggah’ remix aliyomshirikisha mwanamuziki kutoka Cameroon Libianca ...
11
Wachezaji 62 wafungiwa kwa kudanganya umri
Shirikisho la ‘soka’ nchini Cameroon limewafungia wachezaji 62 kujihusisha na michezo baada ya kudanganya umri akiwemo mchezaji wa ‘klabu’ ya Victoria ...
09
Ngannou apigwa kwa K.O, Joshua amtaka asiache ngumi
Bondia maarufu kutoka nchini Cameroon Francis Ngannou amechapwa na Anthony Joshua kwa kumpiga Knock Out (K.O) katika pambano la uzito wa juu lililofanyika Riyadh, Saudi Arabia...
05
Song aonesha jezi alizopewa
Nyota wa zamani wa Arsenal, Barcelona, West Ham United na Cameroon, Alexandre Song ame-share video kwenye ukurasa wake wa Instagram akionesha ‘jezi’ alizobadilisha...
01
Onana matatani kupoteza nafasi kikosi cha kwanza
Mlinda mlango wa ‘klabu’ ya Manchester United, Andre Onana anachungulia tundu la sindano kwa kuhofia kupoteza nafasi yake kwenye kikosi cha kwanza ‘klabuni&r...
30
Onana atua Cameroon
'Kipa' wa zamani wa ‘klabu’ Manchester United, Andre Onana, amerejeshwa tena kwenye kikosi cha 'Timu' ya Taifa ya Cameroon miezi 10 baada ya kustaafu kucheza 'soka...
11
Samuel Eto’o kuchunguzwa
Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) limetaka mchezaji wa zamani na Rais wa shirikisho la soka nchini Cameroon, (FECAFOOT) Samuel Eto’o, kuchunguzwa kufuatia na malalamiko...
28
Maporomoko ya ardhi yauwa watu 11 nchini Cameroon
Maporomoko ya ardhi yameuwa watu wasiopungua 11 waliokuwa kilioni katika mji mkuu wa Cameroon, Yaounde. Maafisa wa eneo hilo wamesema wahanga walikuwa wamekusanyika juu ya kil...

Latest Post