01
HAPAWARDS 2024 Wasanii Bongo wakabana koo
RHOBI CHACHANi nani atakayeibuka mshindi wa tuzo za Hollywood and African Prestigious Awards (HAPAWARDS)? Ni swali linalosubiriwa kujibiwa kwenye usiku wa kinyang'anyiro cha t...
06
Maneno yaliyotumika kwenye kibango ya Lavalava yatolewa ufafanuzi
Baada ya wadau mbalimbali wa muziki Bongo kutafsiri vibaya baadhi ya maneno katika wimbo wa mwanamuziki Lavalava uitwao ‘Kibango’ kuwa hauna maadili kwenye maneno ...
21
Basata yatolea tamko vita ya Barnaba, Marioo
Kutokana na mgogoro unaoendelea kwenye mtandao wa Instagram kati ya wanamuziki Elias Barnabas, ‘Barnaba’ na Omary Ally,‘Marioo’, kuhusu Tuzo za Muziki ...
19
Basata yazindua linki ya uwasilishaji kazi za wasanii
Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), limetangaza mfumo rasmi utakaotumika kuwasilisha kazi katika tuzo za muziki Tanzania (TMA). Akizungumza na waandishi wa habari, leo Aprili 1...
16
Katibu Basata akumbushia ugomvi wa Diamond na Rayvanny
Mwanamuziki Rayvanny tayari amewasili nchini kutoka Kenya ambapo alienda kwenye hafla ya utolewaji tuzo za East Africa Arts Entertainment Awards 2024 (EAEA) ambapo ameondoka n...
06
Zuchu aomba radhi kwa jamii
Baada ya kuomba radhi kupitia ‘Lebo’ yake ya WCB kufuatiwa na kutumia lugha isiyofaa katika show yake ya Fullmoon Kendwa Visiwani Zanzibar na kupelekea kufungiwa k...
14
T Touchez, Madee wakalia kuti kavu BASATA
Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) limefungia wimbo wa mwanamuziki Madee alioachia siku ya jana tarehe 13 Disemba, kutokana na wimbo huo kukiuka maadili. Kwa mujibu wa barua il...
14
Nay wa Mitego atinga BASATA, Akabidhiwa muongozo
Baada ya wasanii mbalimbali kujitokeza Baraza la Sanaa Taifa, (BASATA) kufuata muongozo wa maadili katika kazi ya Sanaa msanii Nay wa Mitego amefika katika baraza hilo na kuch...
08
Billnass achukua muongozo wa maadili BASATA
Baada ya kufungiwa miezi mitatu kwa kutojihusisha na kazi za sanaa na ‘faini’ ya milioni tatu  mwanamuziki #Billnass naye amefika Baraza la Sanaa Taifa #BASAT...
07
Diamond akabidhiwa muongozo wa maadili
Baada ya msanii Diamond Platnumz kushinda Tuzo ya MTV EMA 2023 alitembelea katika ofisi za Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) na kukabidhiwa muongozo wa maadili katika kazi za San...
04
Master J atoa shukrani kupata shavu BASATA
Producer maarufu nchini Master J ameteuliwa kuwa mmoja wa wajumbe katika Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Damas Daniel Ndumbaro...
15
Nay wa Mitego hajafungiwa kufanya show
Baada kuzuka sintofahamu kupitia mitandao ya kijamii kuhusiana na suala la msanii wa hip-hop nchini Nay Wa Mitego kufungiwa kufanya show.Kupitia mahojiano ya na moja ya chombo...
29
Wimbo wa nay amkeni wapigwa stop
Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA), imetoa katazo kwa wimbo wa msanii wa #Hiphop  Nay wa Mitego, 'Amkeni' kupigwa kwenye Vyombo vya Habari na mitandao ya kijami. Kupiti...
07
Mbosso awajia juu waandaaji Tuzo za Muziki
Na Asha Charles Alooooo! Tuzo za TMA zimezua balaa kwa baadhi ya wasanii kutoa mapovu kutokutajwa katika listi ya tuzo hizo ambapo mmojawapo akiwa ni msanii kutoka lebo ya WCB...

Latest Post