19
Diamond aitolea uvivu Ziiki
Kwa mara nyingine tena Kampuni ya Usambazaji Muziki ya Ziiki Media, inaingia kwenye mgogoro na msanii wa Bongo Fleva, awamu hii Diamond ametoa tuhuma dhidi yao akidai kuwa Zii...
21
Apple yawaonya wanaokausha simu kwa kutumia mchele
Baadhi ya watu wamekuwa wakiamini kuwa simu ikiingia katika maji ili ikauke na iwe salama inatakiwa kulala usiku mzima katika mchele lakini kampuni ya simu Apple imetoa taarif...
29
Marekani, Mexico zaonya kuhusu mlipuko wa fangasi
Nchi ya Marekani na Mexico zimelitaka shirika la Afya Duniani (WHO) kutangaza dharura ya afya ya umma kutokana na mlipuko wa fangasi ya uti wa mgongo unaohusishwa na shughuli ...
25
DC aonya wanawake kutembelea wanaume wasio wajua.
Mkuu wa wilaya ya Njombe, Kissa Kasongwa ametoa rai kwa wanawake kupunguza ujasiri wa kwenda kwa wanaume bila kujua vizuri ni mtu waina gani. Ni baada ya Juma Msemwa  mwe...
22
TCRA yaonya vyombo vya habari kurusha maudhui kuhusu dini
Mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) imeonya vikali vyombo vya utangazaji nchini humo zikiwemo Radio na Televisheni kuacha kurusha maudhui ya kufikirika hasa yanayogusa iman...
19
Museveni aonya mapenzi ya jinsia moja
Rais wa Uganda Yoweri Museveni amewaonya wananchi wake dhidi ya kampeni zinazounga mkono haki za wapenzi wa jinsia moja akieleza kuwa jambo hilo ni haramu nchini humo. Mwaka 2...
07
UN waonya kuhusu kulegeza juhudi za kulinda mazingira
Ripoti ya Umoja wa Mataifa imebainisha kuwa miaka minane iliyopita inaelezea kuwa ya joto zaidi kuwahi kurekodiwa, huku Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres, akion...

Latest Post