11
Sita wakamatwa mauji ya beki wa Kaizer Chiefs
Watu sita wanadaiwa kuhusika katika kifo cha aliyekuwa mchezaji wa ‘klabu’ ya #KaizerChiefs, #LukeFleurs wamekamatwa na Polisi nchini Afrika Kusini jana Jumatano A...
22
Mhandisi wa Google matatani, Tuhuma za mauaji
Mhandisi wa Program za #Google anayefahamika kwa jina la Liren Chen anatuhumiwa kumpiga mkewe hadi kumuua nyumbani kwake nchini Marekani. Kwa mujibu wa New York Post Mhandisi ...
17
Ndoa yaingia doa, Bibi harusi adakwa na polisi
Bibi harusi kutoka nchini Mexico aitwaye Nancy N amekamatwa na polisi siku ya harusi yake kwa tuhuma za unyang’anyi. Nancy N alikamatwa wakati alipokuwa akishuka kwenye ...
17
Mtu mrefu zaidi duniani alivyoteseka na mapenzi
Sultan Kosen ambaye ni mkulima kutoka nchini Uturuki kwa sasa ndiye anashikilia rekodi ya kuwa mwanadamu mrefu zaidi duniani. Kosen ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 41 anataj...
01
Wachezaji wa Man United wanadai ‘jezi’ zinawabana
Inadaiwa kuwa wachezaji wa ‘klabu’ ya #ManchesterUnited, wanalazimika kuvaa ‘jezi’ zisizo rasmi wakati wa ‘mechi’ kutokana na ‘jezi&r...
23
John afunguka kumfumania mpenzi wake na Danza
Muigizaji kutoka nchini #Marekani, #JohnStamos anadai kuwa aliwahi kumfumania mpenzi wake Teri Copley na muigizaji mwenzie Tony Danza. John anadai kuwa mwaka 1980 aliwakuta wa...
16
Daktari ashitakiwa, Unyanyasaji wa kingono kwa wagonjwa waliozimia
Dk. Louis Kwong, ambaye alikuwa Mkuu wa Idara ya Mifupa katika Kituo cha Matibabu cha Harbour-UCLA Torrance, California, ameshitakiwa kwa unyanyasaji wa kijinsia, tabia ya uba...
15
Baada ya kucheza filamu zaidi ya 160, Michael Caine astaafu kuigiza
Muigizaji mkongwe kutoka nchini  Uingereza Michael Caine ambaye  aliye wahi kuigiza filamu zaidi ya 160 atangaza kustaaf...
09
Mayele: Dunia ya Mungu siyo ya mtu
Mchezaji wa ‘Klabu’ ya Pyramid FC Fiston Mayele anadai kuna watu wanataka afeli. Kuhusiana na hilo Mayele amedai kuwa dunia ni ya Mungu siyo ya mtu hiyo watu waend...
04
Michael Jordan aingia kwenye orodha ya Forbes ya matajiri 400
Nyota mashuhuri wa mpira wa kikapu Michael Jordan anadaiwa kuingia kwenye orodha ya watu 400 matajiri zaidi Marekani ambao huandikwa kwenye orodha inayoheshimika ya Forbes 400...
26
Ageuka kichekesho akiwakimbia polisi kwa gari la ‘gofu’
Mwanamume mmoja kutoka San Fernando ajikuta akigeuka kichekesho wakati akijaribu kuwakimbia maafisa wa polisi  wakiwa kwenye ...
04
Roy Keane apigwa na shabiki wa Arsenal
Baada ya Manchester United kupoteza mchezo kwa mabao 3-1 dhidi ya Arsenal mchambuzi wa ‘timu’ hiyo, Roy Keane anadaiwa kupigwa kichwa na shabiki wa Arsenal, huku m...
29
Diva aeleza sababu ya kutopata mtoto
Mtangazaji #Divatheebawse afunguka sababu ya kutopata mtoto akiwa katika mahojiano na moja chombo cha habari ameeza kuwa aliwahi kupata matatizo yaliyosababisha akafanyiwa upa...
14
Madee: Nina kila sababu ya kusema yanga bingwa msimu huu
Baada ya ‘klabu’ ya #Yanga kuchapwa mikwaju mitatu ya ‘penati’ na #Simba siku ya jana Tanga katika uwanja wa Mkwakwani, wakati wa kutafuta mshindi wa N...

Latest Post