21
Mashabiki Waitamani Ndoa Ya Paula Na Marioo
Baada ya kumalizika kwa sherehe ya Hamisa Mobetto na Aziz Ki, sasa mashabiki wamehamia upande wa Paula Paul na Marioo wakiwataka wawili hao waoane.Kupitia mitandao ya kijamii,...
17
Sauti za Busara 2025 ilivyotumika kupigania amani ya dunia
Tamasha la Muziki la Sauti za Busara la 22, lililoanza Februari 14,2025, hatimaye limetamatika leo Februari 16, 2025 kwa burudani ya kusisimua kutoka kwa wasanii wa ndani na n...
15
Frida Amani Afichua Siri Ya Mafanikio Yake Kwenye Muziki
Mwanamuziki Frida Amani 'Madam President' wakati akifanya mahojiano na Mwananchi, leo Februari 15, 2025 amesema kinachofanya aandike historia kila mara kwenye muziki ni tabia ...
08
Fresh Boys Watamani Kujisimamia
Kawanda cha muziki wa Hip-hop nchini kimebarikiwa kuwa na wasanii wengi wanaofanya kazi kwa kujitegemea. Lakini pia kuna makundi kadhaa ya muziki huo ambayo yamekuwa yakifanya...
06
Nchi Hizi, Adhabu Ya Umbea Ni Kifo
Katika historia, zamani baadhi ya nchi zilikuwa na sheria kali dhidi ya mtu ‘Mmbea’ (watu waliokuwa wakisambaza na kuzungumza taarifa zisizo za kweli au zisizowahu...
01
Rihanna Mahakamani Kesi Ya Asap Rocky
Mwanamuziki maarufu wa Pop duniani, Rihanna (36) alifika mahakamani kufuatilia mwenendo wa kesi inayomkabili mpenzi wake na mzazi mwenzie, Asap Rocky (36) ambaye anashtakiwa k...
29
Aliyemshtaki Asap Rocky Atoa Ushahidi Mahakamani
Mshtaki wa ASAP Rocky ambaye ni rafiki yake wa zamani ASAP Relli, anaripotiwa kutoa ushahidi siku ya jana Januari 28 kwa kuelezea mashtaka mawili ya unyanyasaji aliofanyiwa No...
23
Zari Atamani Kumuona Zuchu Young, Famous & African
Mzazi mwenzie na Diamond Platnumz, Zarinah Hassan ‘Zari the Boss Lady’ amedai kinachokwamisha Wabongo wengi kutoshiriki kwenye kipindi cha ‘Young, Famous &am...
21
Frida Amani Kukiwasha Sauti Za Busara 2025
Mwanamuziki wa Hip Hop na mtangazaji nchini Frida Amani anatarajiwa kufanya show katika tamasha la Sauti za Busara 2025, linalotarajia kufanyika kuanzia Februari 14 hadi 16.St...
09
Baba Levo Akubali Kipaji Cha Rose Ndauka
Mwananmuziki na mtangazaji Baba Levo amekikubali kipaji cha msanii na mwigizaji Rose Ndauka huku akimtabiria kufika mbali zaidi.Kupitia ukurasa wa Instagram wa Baba Levo amemp...
08
Sadio Mane Atamani Kupata Watoto Hawa Na Mkewe
Nyota kutoka klabu ya Al Nassr na timu ya taifa ya Senegal, Sadio Mane ameweka wazi idadi ya watoto anaotamani kuwapata na mke wake Aisha Tamba.Mane ameweka wazi suala hilo ku...
05
Frida Amani atolea maoni EP ya Rose Ndauka
Baada ya msanii wa maigizo Rose Ndauka kuachia Ep yake ya Majibu Rahisi mwezi Disemba, 2024 nakupokea maoni mengi ya kumkatisha tamaa, Msanii na Mtangazaji Frida Amani amekuja...
28
Diddy agonga mwamba kwenye dhamana, jaji adai usalama mdogo
Ombi la dhamana la mkali wa hip hop Marekani Diddy Combs imekataliwa huku jaji wa mahakama hiyo akidai kuwa hawezi kumuachia huru rapa huyo kutokana na usalama kuwa mdogo kwa ...
23
Familia ya Diddy mahakamani kuomba dhamana
Familia ya mwanamuziki wa hip hop Marekani, Diddy ikiingia Mahakamani kwa ajili ya kuomba dhamana kwa mara ya tatu.Kwa mujibu wa Fox News wanasheria wa Diddy wamepeleka tena o...

Latest Post