18
Aliyetamba na wimbo wa Jambo Bwana afariki dunia
Mwanamuziki wa Kenya Teddy Kalanda Harrison ambaye alipata umaarufu kupitia wimbo wa ‘Hakuna matata/Jambo bwana’ amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 72.Taarifa ...
12
Mwaka mmoja tangu Mohbad afariki dunia
Tarehe kama ya leo mashabiki wa aliyekuwa mwanamuziki nchini Nigeria Ilerioluwa Aloba, 'MohBad', waligubikwa na huzuni baada ya kupokea taarifa ya kifo cha msanii huyu kilicho...
10
Aliyemchoma moto Cheptegei afariki dunia
Dickson Marangach Aliyekuwa mpenzi wa mwanariadha wa Olimpiki wa Uganda, Rebecca Cheptegei amefariki dunia usiku wa kuamkia leo.Marangach alifariki dunia akiwa katika Chumba c...
06
Rapa Rich Homie afariki dunia
Rapa Rich Homie Quan (34) amefariki dunia leo Alhamisi Septemba 5, 2024 na taarifa za kifo cha msanii huyo zilianza kusambaa mtandaoni, huku wasanii wenzake kama Boosie Badazz...
05
Mwanariadha aliyechomwa moto na mpenzi wake, afariki dunia
Mwanariadha kutoka Uganda wa mbio za Marathon, Rebecca Cheptegei amefariki dunia leo hii Septemba 5, 2024 wakati akipatiwa matibabu ya majeraha aliyoyapata baada ya kumwagiwa ...
03
Nyota wa filamu ya Lucky afariki dunia
Mwigizaji wa Marekani James Darren, aliyetambulika zaidi kupitia filamu ya ‘Gidget’ afariki dunia akiwa na umri wa miaka 88.Taarifa ya kifo chake imetolewa na mtot...
07
Nyota wa Black Panther afariki dunia
Connie Chiume, mwigizaji mkongwe wa Afrika Kusini ambaye alionekana katika filamu ya Marvel Black Panther, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 72.Taarifa ya kifo chake ilit...
27
Mwigizaji Bill Cobbs afariki dunia
Mwigizaji mkongwe wa Marekani Bill Cobbs ambaye amejulikana zaidi kupitia filamu zake kama ‘Night at the Museum’ na ‘The Bodyguard’ amefariki dunia aki...
25
Nyota wa ‘Pirates of the Caribbean’ afariki dunia
Mwigizaji kutoka Marekani aliyefahamika zaidi kupitia filamu yake ya ‘Pirates of the Caribbean’ Tamayo Perry amefariki dunia baada ya kuliwa na samaki aina ya Papa...
23
Terry Joyce afariki dunia
Aliyekuwa mwigizaji wa vichekesho kutoka nchini Marekani Terry Joyce ambaye amewahi kuonekana katika kipindi cha Byker Grove na BBC Hebburn amefariki dunia. Kwa mujibu wa tovu...
21
Mwigizaji Donald Sutherland afariki dunian
Mwigizaji Donald Sutherland, kutoka nchini Canada aliyejulikana kupitia filamu zake kama ‘The Hunger Games’ na ‘MASH’, amefariki dunia akiwa na umri wa...
15
Fred Omondi afariki dunia
Fred Omondi ambaye ni mdogo wa mchekeshaji maarufu nchini Kenya, Eric Omondi amefariki dunia baada ya kupata ajali ya kugongwa na gari.Kwa mujibu wa tovuti ya Pulse, Fred amef...
14
Mbwa wa kwenye filamu ya The walking dead afariki dunia
Mbwa wa mwigizaji Daryl Dixon's aitwaye ‘Seven’ aliyeonekana katika filamu ya zombie ya ‘The Walking Dead’ amefariki dunia siku ya jana Alhamisi Mei 13...
08
Bonzo Kwembe afariki dunia
Mcharazaji gitaa maarufu nchini aliyewahi kuzipigia bendi mbalimbali ndani na nje ya nchi, ikiwemo Extra Bongo '3x3', Ismail Kwembe a.k.a Bonzo Kwembe, amefariki dunia leo.Aki...

Latest Post