22
Bondia Foreman Afariki Dunia
Bondia Mstaafu George Foreman amefariki dunia jana Ijumaa, Machi 21, 2025 akiwa na umri wa miaka 76.Taarifa ya kifo cha Foreman imetolewa na familia yake ambayo hata hivyo hai...
07
Mwanamuziki Roy Ayers Afariki Dunia
Mwanamuziki na producer maarufu Marekani, Roy Ayers amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 84 baada ya kuugua kwa muda mrefu.Kwa mujibu wa taarifa iliyowasilishwa na familia y...
17
Mwigizaji Kim Sae-Ron Afariki Dunia
Tasnia ya filamu na burudani Korea Kusini imepata pigo baada ya taarifa za kifo cha mwigizaji maarufu Kim Sae-ron (24) aliyefariki dunia nyumbani kwake jijini Seoul.Kwa mujibu...
06
Irv Gotti Afariki Dunia
Mtayarishaji muziki kutoka Marekani ambaye amewahi kufanya kazi na mastaa kama Kanye West amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 54.Taarifa ya kifo chake imetolewa kupitia uku...
07
Punda Wa Kwenye Katuni Ya Shrek, Afariki Dunia
Punda liyejizolea umaarufu kupitia filamu ya katuni ya ‘Shrek’ aliyepewa jina la Perry amefariki dunia akiwa na miaka 30.Taarifa ya kifo chake ilithibitishwa na hi...
04
Mtayarishaji Wa Katuni Ya Thomas & Friends, Afariki Dunia
Britt Allcroft, mtayarishaji wa katuni ya Thomas & Friends, kutoka Uingereza amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 81.Taarifa ya kifo chake ilithibitishwa na mtayarishaji...
02
Aliyefanya Upasuaji Afanane Na Paka, Afariki Dunia
Mwanamitandao kutoka Uswisi aitwaye Jocelyn Wildenstein maarufu kama "The Cat Woman" Amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 84.Taarifa ya kifo chake imethibitisha na mpenzi wa...
10
Mchekeshaji Molingo afariki dunia Chato
Mchekeshaji Frank Patrick 'Molingo' Mkazi wa Wilaya ya Chato mkoani Geita amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Desemba 10,2024.Taarifa ya kifo chake imetolewa na Mudi Msomali,...
17
Mwigizaji Fredy afariki dunia, Johari azungumza
Mwigizaji wa Bongo Movie Fredy Kiluswa amefariki dunia leo Novemba 16,2024 akipatiwa matibabu katika hospitali ya rufaa Mloganzila.Taarifa hiyo imethibitishwa na mwigizaji mwe...
15
King Kikii wa Kitambaa cheupe afariki dunia
Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi Tanzania, Boniface Kikumbi maarufu King Kikii amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Ijumaa Novemba 15, 2024 akiwa anapatiwa matibabu kati...
02
Tesa wa Huba afariki dunia
Mwigizaji Grace Mapunda maarufu kama ‘Tesa’ amefariki dunia usiku wa kuamkia leo, Novemba 2, 2024 akipatiwa matibabu katika chumba cha wagonjwa mahututi, kwenye Ho...
02
Mwigizaji wa Coming to America afariki dunia
Mwigizaji wa Marekani John Amos ambaye alipata umaarufu kupitia filamu ya ‘Coming to America’ na ‘Good Time’ amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 84....
27
Nyota wa Harry Potter afariki dunia
Mwigizaji wa Uingereza Dame Maggie Smith ambaye alijulikana zaidi kupitia mfululizo wa filamu ya ‘Harry Potter’ amefariki dunia asubuhi ya leo Septemba 27, 2024 ak...
27
Mama wa kambo wa Madonna afariki dunia
Mama wa kambo wa mwanamuziki kutoka Marekani Madonna ambaye alimlea kwa muda mrefu aitwaye Joan Ciccone amefariki dunia.Kwa mujibu wa Tmz mwanamke huyo alifariki dunia wiki hi...

Latest Post