03
Timu ya Lakers yatoa heshima kwa Kobe na mwanaye
Timu ya mpira wa kikapu kutoka Marekani ‘Los Angeles Lakers’ siku ya Jana Agosti 2, imezindua sanamu la marehemu nguli wa kikapu Kobe Bryant na mwanaye.Kufuatia na...
02
Familia ya mtuhumiwa kifo cha AKA yatoa tamko
Ikiwa zimepita siku kadhaa tangu mahakama nchini Afrika Kusini kumtaja mfanyabiashara, Sydney Munda Gcaba kuwa ndiye aliyewalipa Sh 109 milioni watuhumiwa sita wa mauaji ya al...
07
Hekima za Dulla Makabila
Kama ilivyokawaida ya mkali wa singeli nchini, Dulla Makabila kushusha jumbe tofauti tofauti katika ukurasa wake wa Instagram huku mara nyingi ukiwa ni wa kuwapa madini mashab...
27
Serikali Austria yatoa ofa usafiri bure kwa wenye ‘tattoo’
Serikali nchini Austria imesema itatoa ofa ya usafiri wa treni bure kwa mwaka mzima kwa watu watakaochora ‘tattoo’ yen...
08
Japani yatoa mafunzo ya kucheka
Watu wengi nchini Japani wameanza kuchukua mafunzo ya jinsi ya kutabasamu upya baada yakuvaa mask (Barakoa) kwa muda mrefu. Raia hao wamekua wakizoea kuvaa mask kwa muda mrefu...
02
Ikulu yatoa tamko, Biden kuanguka jukwaani
Ikulu ya Marekani ‘White House’ imesema kuwa Rais Joe Biden yuko sawa baada ya kujikwaa na kuanguka jukwaani alipokuwa kwenye sherehe za kuhitimu Chuo cha Jeshi la...
26
FDA yatoa kibali kuanzisha majaribio ya kupandikiza ubongo bandia
Kampuni ya Neuralink inayomilikiwa na bilionea Elon Musk imepata kibali cha mamlaka ya chakula na dawa nchini Marekani (FDA) kufanya jaribio la kwanza kwa binadamu baada ya ku...
26
WHO yatoa tahadhari kuhusu dawa ya kikohozi ya maji
Shirika la Afya duniani (WHO) limesema kwamba shehena ya dawa ya kikohozi yenye sumu ya India  imepatikana katika visiwa vya Marshall na Micronesia. WHO ilisema kuwa samp...
03
Kenya yatoa tahadhari ugonjwa mpya wa zinaa
Madaktari kutoka nchini Kenya wamewataka wananchi kuwa waangalifu kufuatia kugunduliwa kwa aina mbili mpya za magonjwa ya zinaa (STIs). Wanasayansi katika Taasisi ya Utafiti w...
15
Afungwa kwa madai ya uongo ya kubakwa aliyoyatoa
Mwanamke mmoja kutoka nchini Uigereza aliefahamika kwa jina la Eleanor Williams aliyetoa madai ya udanganyifu kwamba alibakwa na wanaume wengi na kusafirishwa kiharamu na geng...
14
TMA yatoa tahadhari ya mvua kubwa
Taarifa ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imeeleza kuwa mvua kubwa itanyesha kwenye mikoa takribani 15 ambapo  baadhi ya maeneo ya Mikoa ya Iringa, Mbeya, Songwe...
03
Serikali yatoa utafiti vijana wasio na ajira nchini
Serikali imesema Utafiti wa Watu wenye uwezo wa kufanya Kazi wa Mwaka 2021 unaonesha Vijana wenye umri wa Miaka 15 hadi 35 ambao wana Ukosefu wa ajira ni 1,732,509 sawa na 12%...
05
Mdundo.com yatoa fursa kwa waumini wa dini ya Kiislamu
  Kampuni ya huduma za mziki mtandaoni ya Mdundo.com kwa mara ya kwanza katika msimu wa Ramadhani ulianza Aprili 1 hadi 30, imetoa fursa ya kipekee kwa waumini wa dini ya...
15
Serikali yaahidi kushirikiana na sekta binafsi kukamilisha miradi ya maji kwa wakati
Naibu Waziri wa Maji, Maryprisca Mahundi amesema kuwa Serikali itashirikina na sekta binafsi katika kuhakikisha miradi ya maji ina...

Latest Post