11
Lady Gaga alivyotinga vazi lililotengenezwa kwa nyama
Ubunifu ni kati ya kitu muhimu kwa wasanii kama njia ya kuwapa utambulisho na kuwafanya waendelee kujitengenezea utofauti. Ili kuwa na utofauti wapo waliowekeza ubunifu kwenye...
26
Simi aungana na Wakenya, Aumizwa na waliopoteza maisha
Mwanamuziki maarufu nchini Nigeria, #Simi, ametoa sauti yake katika maandamano ya kupinga ongezeko la kodi yanayoendelea nchini Kenya ambapo amedai kuwa inahuzunisha watu kupo...
26
Lupita Nyong o aunga mkono maandamano Kenya
Mwigizaji kutoka Marekani mwenye asili ya Kenya Lupita Nyongo amelipongeza kundi la vijana la ‘Gen Z’ na wananchi wote nchini humo kwa kuchukua uamuzi wa kuandaman...
11
Suge Knight adai Diddy ni FBI
Mwanzilishi mwenza wa rekodi lebo ya ‘Death Row Records’ kutoka Marekani Suge Knight, ambaye kwa sasa anatumikia kifungo cha miaka 28 jela amedai kuwa mkali wa Hip...
15
Aliyembaka mwanaye na kumzalisha ahamishwa gereza
Mahakama nchini Austria imeidhinisha mfunguwa Josef Fritzl (89) aliyembaka binti yake na kumzalisha watoto saba kuhamishwa gereza baada ya tabia yake kubadilika. Inaelezwa kuw...
23
Je wajua Wanaume wenye vipara walitumika katika majaribio ya lipstick
Katika miaka ya 1950 kazi ambayo ilikuwa ikitrend sana katika sehemu mbalimbali hasa Marekani ni kazi ya majaribio ya lipstick iit...
16
Utafiti: Kumshika mkono umpendaye ni njia ya kunapunguza maumivu
Kwa mujibu wa Utafiti wa Pavel Goldstein kutoka chuo kikuu cha Colorado, Boulder, unaeleza kuwa kushikana mikono na mtu unayempena na kumjali kunauwezekano mkubwa wa kupunguza...
02
Zaidi ya watu 1000 wakusanyika kusheherekea uhalalishwaji wa bangi
Zaidi ya watu 1000 nchini Ujerumani siku ya Jana wamekusanyika katika maeneo mbalimbali kusherehekea kuhalalishwa kwa matumizi ya bangi nchini humo. Licha ya ruhusa hiyo watum...
31
Atembea na cheti kuthibitisha umri wake
Mwanaume mmoja kutoka nchini #Urusi aliyefahamika kwa jina la Dennis Vashurin mwenye umri wa miaka 36 imemlazimu kutembea na cheti chake cha kuzaliwa kwasababu ya kuthibitisha...
13
Fanya haya kuzuia wizi kazini
Na Aisha Lungato Katika kila sehemu ambayo inamzunguko wa watu wengi lazima kutakuwa na tabia zinazofaa na zisizofaa, na kama tunavyojua sehemu kama kazini, chuo, shule. Kunak...
06
Utafiti: Kufunga kunafanya watu wawe na afya njema
Utafiti uliofanywa na Chuo cha Cambridge umeeleza kuwa kufunga mara kwa mara kunawaongezea binadamu uzalishaji wa mafuta muhimu na kusababisha kuwa na afya njema na kupunguza ...
01
Ifikapo 2070 dunia itakuwa na watu zaidi ya bilioni tisa
Taasisi ya Kimataifa ya Uchambuzi wa Mifumo (IIASA), imeeleza kuwa idadi ya watu duniani inakadiriwa kufikia bilioni 9.4 ifikapo mwaka 2070, licha ya kudaiwa kuwepo kwa ongeze...
29
Baraka: Nimechoka kuonekana mbaya, Nafanyiwa figisu
Msanii wa bongo fleva Barakah The Prince ameendelea kuuwasha moto kupitia mitandaa ya kijamii na leo amedai kuwa ataweka wazi figisu zote alizowahi kufanyiwa toka mwaka 2016. ...
15
Atembea kama Miss kwenye mazishi ya rafiki yake
Mwanamitindo kutoka nchini Marekani Erica L. Carrington amezua gumzo kwenye mitandao ya kijamii baada ya kutembea kama miss katika mazishi ya mbunifu mwenzake Vernest Moore wa...

Latest Post