Na Aisha Lungato
Katika maisha ya kawaida mambo hatari yanayoweza kusababisha mtu kupoteze maisha ni pale anapokosa msaada wa huduma ya kwanza pindi anapokabiliwa na ugonjwa a...
Baada ya jinsia ya mtoto wa Marioo na Paula kutambulika mwanamuziki wa Bongo Fleva Billnass amemkaribisha marioo kwenye chama cha wazazi.
Kupitia ukurasa wake wa Instagr...
Marehemu muigizaji kutoka nchini Nigeria John Okafor (62) maarufu kama Mr Ibu anatarajiwa kuzikwa Juni 28, 2024.
Taarifa hiyo imetolewa na kaka mkubwa wa Mr Ibu, Sunday Okafor...
Tamasha la mwanamuziki Jay-Z liitwalo ‘Made In America Festival’ ambalo hufanyika kila mwaka mwezi Mei jijini Philadelphia nchini Marekani lapigwa chini kwa miaka ...
Mkali wa Afrobeat kutoka nchini Nigeria Rema (23) ameripotiwa kuwa na mpango wa kuanzisha na kujenga chuo cha muziki Barani Africa.
Chuo hicho ambacho kinadaiwa kugaharimu N20...
Mwanamuziki kwa wa Bongo Fleva nchini Harmonize amedai kuwa anataka kuionesha jamii kipaji chake kingine katika upande wa upiganaji (Ndondi).
Kupitia ukurasa wake wa Instagram...
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria, Rema ameweka wazi kuhusiana na uvaaji wake wa miwani kwa siku za hivi karibuni, ambapo ameeleza kuwa anatatizo la macho.Rema ameyasema hayo ...
'Klabu’ ya #Yanga imetoa taarifa kuwa Afisa Habari wa ‘timu’ hiyo #AliKamwe anaendelea vizuri kwa sasa, baada ya kupata matatizo ya kiafya dakika chache kabl...
Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba ameachia picha kupitia ukurasa wake wa Instagram akiwa na breach kichwani akijiandaa na ‘Pacome Day’ mchezo unaotarajiwa kuchezwa s...
Kutokana na utafiti uliofanywa na Taasisi inayojihusisha na masuala ya fedha Bankrate, iliyopo nchini Marekani imebaini kuwa asilimia 42 ya wanandoa huwaficha wenzi wao mali w...
#DianaArmstrong ambaye anashikilia rekodi ya dunia ya ‘Guinness World Records’ kwa kuwa mwanamke mwenye kucha ndefu zaidi ameeleza jinsi gani anajisafisha wakati a...
Muigizaji wa #BongoMovie, ambaye alijulikana zaidi kupitia tamthilia ya ‘Jua Kali’ #Dorah ameeleza kuwa anachukizwa na watu wanaosema kuwa hawezi kuwa na Mah...
Mwanamuziki wa #BongoFleva, #Harmonize amesitisha show kwaajili ya kuomboleza kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania Edward Ngoyai Lowassa.
Kupitia #Instastor yake...
Huduma za Internet nchini Pakistan zimezuiwa kwa muda kuhofia ugaidi wakati wa zoezi la uchaguzi linaloendelea leo nchini humo kufuatiwa na upinzani mkubwa wa vyama viwili vya...