20
Johari awacharukia wasioamini ushindi wake, Tuzo za MVAA
Mwigizaji na mkurugenzi wa kampuni ya ‘Empire Lokoma’ Johari Chagula mapema wiki hii ameinua bendera ya Tanzania nchini Nigeria kwa kuondoka na tuzo mbili za The M...
13
Mmiliki wa maduka China aruhusu likizo kwa wafanyakazi wasio na furaha
Manzilishi na mwenyekiti wa maduka ya rejareja ‘Pang Dong Lai’ kutoka China aitwaye Yu Donglai, ameanzisha likizo kwa ...
21
Utafiti: Wanandoa wasiotumia mitandao ndio wenye furaha zaidi
Kwa mujibu wa utafiti uliyofanywa na Chuo Kikuu cha Kansas unaeleza kuwa wanandoa ambao hawajihusishi sana na mitandao ya kijamii huwa na furaha zaidi kuliko wanaojihusisha na...
24
Bongo Zozo awatolea povu wasioungana na Stars
Aliyeteuliwa kuwa muhamasishaji wa #TaifaStars katika mashindano ya #AFCON, #BongoZozo amewatolea povu Watanzania wanoshindwa kuungana na ‘timu’ ya Taifa Stars kat...
10
Wasiojulikana wavamia chombo cha habari
Watu wasiojulikana wanaodaiwa kuwa majambazi wamevamia Television ya serikali nchini Ecuador siku ya jana Jumanne na kuwaweka chini ya ulinzi waandishi wa habari waliokuwa wak...
08
Wafahamu Mbwa wasiobweka
Duniani kuna aina nyingi za mbwa, lakini licha ya kuwa na aina hizo wanyama hawa huzoeleka kwa kuwa na mtindo wa kufanana kwenye kubweka. Mfanano huo wa sauti za kubweka unaji...
27
Makabila ashusha mkeka wasanii wasio na matatizo
Mwanamuziki wa singeli nchini Dulla Makabila amedondosha list ya wasanii watano ambao hawana matatizo na mtu yeyote. Makabila kupitia ukurasa wake wa Instagram ame-share picha...
16
Bibi wa miaka 93 asema uzee siyo kosa wanawake wasiogope
Bibi wa miaka 93 aitwaye Licia Fertz mwenye ushawishi mkubwa katika mitandao ya kijamii anajaribu kubadilisha mawazo na mitazamo ya wanawake wengi ambao wanaogopa kuzeeka kwa ...
11
Muhimbili kuhifadhi mayai, wasiotaka kuzaa haraka
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Profesa Mohamed Janabi amesema kuanzia Januari mwaka 2024 watafungua jengo linalohusika na huduma za upandikizaji mi...
07
Best Naso adai kufanyiwa uhuni kwenye muziki
Msanii wa #BongoFleva, #BestNaso adai kufanyiwa uhuni kwenye muziki baada ya kuachia video yake ya ‘Simpendi Mama’ kutoka kwenye EP yake ya ‘Top4 Story&rsquo...
03
Mbasha adaiwa kuchomwa kisu na mtu asiyejulikana
Inadaiwa msanii wa nyimbo za injili nchini, Emmanuel Mbasha yupo hospitali ya Amana Jijini Dar es Salaam kwa matibabu baada ya kuvamiwa na kuchomwa visu kifuani na mtu asiyeju...
10
8 wauawa Syria
Zaidi ya watu 8 wauwawa wakiwemo watoto watatu kwa mabomu yaliyokuwa ndani ya gari katika matukio mawili tofauti kaskazini mwa nchi ya Syria siku ya jumapili. Shirika linalofu...
08
Fei Toto: Pesa mlizo changa kwenda CAS zitaenda kwa watoto yatima
Baada ya kusaini mkataba wa kuitumia Azam FC, Feisal Salum amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kumaliza sakata lake la kuvunja mkataba na klabu ya Yanga. Katika hatua za...
25
DC aonya wanawake kutembelea wanaume wasio wajua.
Mkuu wa wilaya ya Njombe, Kissa Kasongwa ametoa rai kwa wanawake kupunguza ujasiri wa kwenda kwa wanaume bila kujua vizuri ni mtu waina gani. Ni baada ya Juma Msemwa  mwe...

Latest Post