Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na chapa ya ‘St. Tropez’ unaeleza kuwa wanawake wanapata mabadiliko ya kuonekana wazee kila ifikapo Jumatano hasa kuanza saa 9:30 ...
Mwigizaji na mwanamuziki Akon Thiam akiwa katika mahojiano na The Joe Budden Podcast ametoa maoni kuhusu mahusiano kwa kusema wanaume wanatakiwa kuwa na wanawake wengi.“...
Mwigizaji Julias Charles anayefanya vizuri kwenye tamthilia ya Huba, amesema kutokana na urefu alionao anakumbana na changamoto mbalimbali ikiwemo kwenye vyombo vya usafiri.Ju...
Mwanamuziki anayetamba na wimbo wa ‘Wale Wale’ aliyomshirikisha Diamond, Zuchu ametajwa kuongozwa kusikilizwa katika mtandao wa Spotify kwa upande wa wanawake.Zuch...
Mwanaume aliyefahamika kwa jina la Ari Nagel kutoka Brooklyn nchini Marekani kwenye siku ya baba duniani inayoadhimishwa kila mwaka Juni 16, amesheherekea siku hiyo kwa kupata...
Mwanamuziki wa Nigeria, Ruger amefunguka mtazamo wake kuhusu mahusiano kwa kudai kuwa anaweza kupenda wanawake watano tofauti kwa wakati mmoja.
Ruger ameyasema hay...
Waswahili wanasema ukistaajabu ya Musa utaona ya firauni, kwa karne ya sasa ni ngumu, kukutana na binadamu ambaye hajawahi kuona mwanamke au mwanaume toka azaliwe kwani watu w...
Mtoto wa mkali wa Hip-Hop kutoka nchini Marekani Diddy, King Combs anatarajiwa kufunguliwa mashitaka dhidi ya unyanyasaji wa kingono.
Kwa mujibu wa tovuti ya Vibe imeeleza kuw...
Aisha Charles
Hello guys! acha nikusalimu kwa jina la fashion. Leo tumeingia kwa undani zaidi katika masuala ya urembo, tumekusogezea jinsi ya kutunza ngozi kwa wanaume.
Hivi ...
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amesema huwa anakataa kupokea mahari kwa ajili ya binti zake, badala yake hulipa mahari kwa familia za vijana wa kiume wanaooa kwake.Hii ni kin...
Mchekeshaji na muigizaji kutoka nchini Gladness Kifaluka maarufu kama Pili Wa Kitimtimu ameweka wazi kutaka kuinua wanawake wenye vipaji vya uchekeshaji.Gladness ameyasema hay...
Kila ifikapo tarehe kama ya leo Machi 8, dunia inaadhimisha siku ya wanawake. Wapo baadhi ya watu ambao huitumia siku hii kuwapa zawadi ndugu zao wa kike, wapo wanaoituma kwa ...
Mwanamuziki wa #BongoFleva nchini #DiamondPlatnumz amekiri mbele ya mashabiki kuwa #Zuchu ndiye mwanamke anayesababisha wanawake wengine awaone kama dada zake.Diamond ameyasem...
Mwanamuziki wa bongo fleva, Ruta Bushoke amemtaja msanii wa kike, Zuhura Othoman 'Zuchu' kwamba alikuwa namba moja kwa kufanya kazi bora mwaka 2023.
Bushoke ametoa sabab...