wanasarakasi-kutoka-nchini-tanzania-ramadhani-brothers Mwananchi Scoop - Mwananchi Communications Ltd
08
Hrithik Roshan Akabidhiwa Jukumu La Kuongoza Krrish 4
Mtayarishaji maarufu kutoka India, Rakesh Roshan ambaye ni baba mzazi wa mwigizaji Hrithik Roshan amemkabidhi kijana wake huyo mikoba ya kuongoza filamu maarufu ya ‘Krri...
05
Mocco Amvuta Tena Marioo
Baada ya msanii na mtayarishaji wa Bongo Fleva, Mocco Genius kumshirikisha Marioo kwenye ngoma ya Mi Nawe mwaka 2024 na kufanikiwa kufanya vizuri kwenye chart na majukwaa mbal...
05
Jux, Priscilla kufanya harusi ya kitamaduni Nigeria
Msanii wa Bongo Fleva, Juma Jux ametangaza kufanya harusi ya kitamaduni na mke wake Priscilla Aprili 17, 2025.Jux ambaye alifunga ndoa na mke wake Priscilla Februari 7, 2025 M...
05
Album ya pili ya Jay Melody imekamilika
Msanii wa Bongo Fleva, Jay Melody ametangaza album yake ya pili kukamilika ikiwa ni mwaka mmoja umepita tangu alipoachia album ya kwanza inayofahamika kama Therapy iliyotoka A...
04
Mastaa hawa bongo wanapiga miguu yote
Kama ilivyo kwenye mpira wa miguu ni sifa kwa mchezaji kucheza miguu yote kulia na kushoto. Hata kwenye muziki ni hivyo. Mtayarishaji anayeweza kuimba, kuandaa biti na melodie...
04
Mpenzi wa Ney alivyomlipia kurekodi wimbo wa kwanza
Msanii wa Hip Hop Bongo, Nay wa Mitego alikuja na mtindo wa aina yake kwenye muziki kwa kukosoa wasanii wengine na baadhi ya mambo kwenye tasnia jambo lililompatia umaarufu ku...
04
Tuzo za Mimi Mars zipo huku, sio huko!
Ni miongoni mwa mastaa Bongo waliojaliwa vipaji vingi, hakuna ubishi kuwa Mimi Mars amefanikiwa kutengeneza jina lake katika muziki na filamu kitu kinachomfanya kuwa chapa yen...
03
Beyonce, Jayz watajwa mashuhuda kesi mpya ya Diddy
Rapa Sean 'Diddy' Combs anakabiliwa na mashtaka mapya ya biashara ya kuuza binadamu na unyanyasaji wa kingono baada ya Joseph Manzaro kudai alifanyiwa unyanyasaji na rapa huyo...
02
Fid Q awapa mashabiki nafasi ya kuamua
Mwanamuziki Fareed Kubanda (Fid Q) amewapa nafasi mashabiki wake kuchagua ngoma yake ipi aimbe Mei 2, 2025 atakapopanda kwenye jukwaa la Bongo Fleva Honors. Fid Q atafanya sho...
02
Zuchu na umwambao, Rita ajibu mapigo
Ni wazi kuwa kwenye mitandao ya kijamii kinachozungumzwa zaidi kwa sasa ni habari ya mwanamuziki Zuchu na mwanadada Rita Norbeth ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa Diamond Platnumz...
02
Diamond, Harmonize kuweka alama miaka 22 ya Mr Blue kwenye gemu
Msanii wa muziki nchini, Mr.Blue ambaye mwaka huu anatimiza miaka 22 kwenye kiwanda cha muziki, ametangaza kuachia nyimbo 22 kama zawadi kwa mashabiki wake.Akizungumza na waan...
02
Majani aingilia kati ishu ya Paula kupewa jina la Kiislamu
Mtayarishaji wa muziki nchini Paul Matthysse 'P Funk' amebariki binti yake Paula Paul kubadili dini na kuwa Muislamu huku akimchagulia jina la Sheila.Hayo ni baada ya mwanamuz...
02
Ray C na Babu Tale wametoka mbali sana!
Baada ya miaka mitano akiwa kama Mtangazaji wa Radio, Ray C aliamua kujaribu bahati yake katika Bongofleva, basi sauti yake nzuri, nyembamba na ya kuvutia pamoja na uchezaji w...
02
Nuh Mziwanda, Harmonize walivyoyageuza mapenzi fursa
Licha ya muziki wake kutaliwa na drama nyingi kutokana na kuwa na uhusiano na Shilole kipindi cha nyuma, hiyo haiondoi ukweli kwamba Nuh Mziwanda ni miongoni mwa wasanii wa Bo...

Latest Post