04
Diddy auza nyumba yake ya Los Angeles
Mfanyabiashara na mkali wa Hip-hop Marekani Diddy Combs ameripotiwa kuuza jumba lake la kifahari lililopo jijini Los Angles kwa dola milioni 70 ikiwa ni sawa na Sh 185.8 bilio...
11
Aliyempulizia mtoto moshi wa shisha atafutwa
Baada ya kusambaa kwa video kupitia mitandao ya kijamii zikimuonesha mwanamke akimpulizia mtoto mchanga moshi wa shisha. Mamlaka jijini Lagos nchini Nigeria zimeanza msako mka...
11
Unyanyasaji wa kijinsia vyuoni na jinsi ya kukabiliana nao
Kuna wakati unakutana na changamoto ya kunyanyaswa kijinsia na usiwe na uelewa kwamba kitendo ulichofanyiwa ni unyanyasaji lakini kwa sababu ya ukosefu wa uelewa juu ya elimu ...
21
Wazee watishiwa kifo kwasababu ya urithi
Kufuatiwa na wimbi kubwa la malalamiko ya vikongwe kuhusu kulazimishwa kutoa urithi kwa watoto wao huko mkoani Shinyanga baadhi ya wazee wanadai kuwa wamekuwa wakitishiwa na w...
06
Mwalimu akamatwa kwa kesi ya ubakaji wanafunzi
Mwalimu wa madrasa (chuo cha kislam) nchini Senegal anayeshukiwa kuwabaka wanafunzi wake 27 wa kike, amekamwatwa  siku ya jana Jumatatu baada ya kulikimbia jeshi la polis...
09
Ndoa za utotoni zaongezeka Ethiopia
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuwahudumia Watoto UNICEF, limefahamisha kuwa ndoa za utotoni na unyanyasaji wa kijinsia umeongezeka nchini Ethiopia. Madaktari na wafanyakazi w...
08
Kesi 35 za Ukatili wa kijinsia zafikishwa Mahakamani Katavi
Jumla ya kesi 35 za ukatili wa kinjinsia na unyanyasaji wa watoto Mkoani Katavi zilipata mafaniko mahakamani katika kipindi cha mwezi Januari hadi Novemba 2022 ukilinganisha n...
02
Wanawake watakiwa kuendelea kukataa vitendo vya ukatili wa kijinsia vinavyofanywa dhidi yao na watoto
Wanawake nchini wametakiwa kuendelea kuchukua jukumu la kuongelea na kukataa vitendo vya ukatili wa kijinsia vinavyofanywa dhidi y...

Latest Post