08
Wanaotumia Vision Pro wakati wa kuendesha gari watakiwa kuwa makini
Baada ya kusambaa kwa video ikiwaonesha baadhi ya madereva wa #Tesla wakitumia kifaa cha ‘Vision Pro’ wakati wakiendes...
31
Filamu ya Travis yageuka gumzo
Baada ya mwanamuziki kutoka nchini Marekani Travis Scoot kufanya vizuri kwenye muziki wa hip-hop, kwa kutoa ngoma kali kama vile ‘My Eyes’, ‘Butterfly Effect...
18
Schwarzenegger aachiwa
Muigizaji wa filamu kutoka Marekani Arnold Schwarzenegger, ameruhusiwa kupiga mnada saa yake ya gharama nchini Austria, baada ya kutolewa kizuizini katika uwanja wa ndege wa M...
09
Show yafanya Usher aache pombe
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani #UsherRaymond ameamua kuacha matumizi ya Pombe na vinywaji vyenye sukari kwa ajili ya kujiandaa na onesho la ‘Super Bowl Halftime&rsqu...
04
Maajabu ya sharubu za Paka
Moja kati ya wanyama wafugwao majumbani ni paka, huku wengine wakiwatumia kwa ajili ya kumaliza panya na wengine huwafuga kwa kupenda tu. Kati ya vitu ambavyo humpa paka muone...
04
Chidi adai kutopata kitu baada ya kufanya ngoma na Diamond
Mwanamuziki wa Hip-hop nchini, #ChidiBenz amefungukua na kudai kuwa hakupata kitu baada ya #DiamondPlatnumz kuingiza mstari kwenye wimbo wake mpya uitwao ‘Tunaishi nao&r...
20
Diamond akimchimba biti D voice kutovaa vitu feki
Mwanamuziki Diamondplatnumz akimkabidhi msanii mpya wa WCB D Voice cheni mpya yenye mchanganyiko wa madini iliyotengenezwa kwa muundo wa nembo ya WCB huku akimtaka msanii kuto...
21
Zuchu apoteza ‘begi’ lenye vitu vya show
Mwanamuziki wa bongo Fleva #Zuchu amedai kuwa amepoteza ‘begi’ ambalo aliweka vitu vyake vyote kwa ajili ya show leo usiku nchini #Rwanda.Kupitia #InstaStory yake ...
27
Kofia ya MJ kupigwa mnada kwa zaidi ya 34 milioni
Kofia ya aliyekuwa mwanamuziki wa Pop nchini Marekani Michael Jackson aliyoivaa kwa mara ya kwanza wakati akitumbuiza ‘dansi’ yake ya Moonwalk imepigwa mnada na sa...
27
Billnass: Ukipenda unaweza kufanya vitu ambavyo huvipendi
Mwanamuziki #Billnass amewajibu wanaomsema vibaya kutokana na clip inayosambaa mtandaoni akicheza ‘Flow’ ambao ni wimbo wa mkewe #Nandy. Wakati akifanya mahojiano ...
25
Maluma arushiwa simu na shabiki wakati akitumbuza
Mwanamuziki kutoka nchini #Colombia, #Maluma naye akutana na vioja vya mashabiki kurushia vitu wasanii wakiwa jukwaani wanatumbuiza. Awamu hii Maluma arushiwa simu na shabiki ...
17
Wafanyakazi wa Ndege wanaswa wakiba vitu vya abiria
Wafanyikazi wawili wa Mamlaka ya Usalama wa Uchukuzi (TSA) wamefumwa wakiiba pesa na vitu vingine kutoka kwenye mifuko ya abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Miami F...
17
Baba Levo: Kupitia Diamond unaweza kufanya vitu vikubwa
Msanii #BabaLevo amefunguka akidai kuwa kupitia #Diamond unaweza ukafanya mambo makubwa, yeye humuita powerful kutokana na uwezo wake katika soko la muziki nchini. Ameyazungum...
14
Mbosso aonesha jeuri ya pesa
Wakati wengine wakiendelea kuachia ngoma na kuzipambania zifike namba ‘one on trending’ kwa Mbosso Khan yeye ni tofauti kwa upande wake ameamua kuonesha jeuri ya p...

Latest Post