12
Robinho ajifunza ufundi Tv gerezani
‘Fowadi’ wa zamani wa Real Madrid, Manchester City na Brazil, Robinho ameanza kujifunza ufundi wa vifaaa vya umeme, ikiwamo kutengeneza televisheni akiwa gerezani ...
31
Awanyima watoto urithi, Awapa Mbwa na Paka
Mwanamke mmoja aitwaye #Liu kutoka Shanghai nchini China ameamua kuwanyima urithi watoto wake na kuwapatia wanyama wake Mbwa na Paka utajiri wake wa dola milioni 2.8 ambayo ni...
23
Mabilionea walioongeza utajiri wao mwaka 2023
Ikiwa mwaka 2023 unaeleke kuisha umekuwa wa neema kwa baadhi ya mabilionea ulimwenguni, ambapo utajiri wao umeongezeka kwa kiasi kikubwa.Wengi wao ni wale wanaojihusisha na ma...
14
Swali la mtangazaji lamchukiza Jotter
Mchekeshaji kutoka Nchini Nigeria #BrainJotter ameonesha kuchukizwa na mtangazaji aliyemuuliza kuhusu utajiri wake. #Brain akiwa katika mahojiano aliulizwa kwa sasa utajiri wa...
25
Akon: Ukitaka kutajirika kuwa bahili
Mwanamuziki Akon ametoa ushauri kwa watu ili waweze kutajirika ni lazima wawe wabahili. Akon akiwa kwenye podcast ya #Impaulsive amesema, kama mtu anataka kutajirika basi lazi...
30
Diamond anaupiga mwingi kwenye maokoto
Ebanaee!!! Amkeni bhana we hivi unajua staa wa muziki wa bongo fleva Diamond platnumz anaingiza mkwanja wa kiasi kikubwa cha Tsh.milioni 183. Kwa mujibu wa ukurasa wa Twitter ...
30
Azika mtoto akiwa hai kisa kupata utajiri
Binti mmoja mkazi wa kijiji cha Mahaha, wilayani Magu, mkoani Mwanza, Zawadi Msagaja (20) anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani humo kwa tuhuma za kumzika mtoto akiwa hai ili...
16
Vanessa Mdee aweka wazi juu ya utajiri wake
Na Habiba Mohamed Hellow niaje niaje! Kama kawaida kila kona kutafuta  story moto moto na kukusogezea mdau wetu wa nguvu.Ebwana majina yanaumba  mnamkumbuka yule mwa...
29
ROTIMI: Kheri kuishi Afrika kuliko Marekani, Kuna Utajiri zaidi, wanaishi vizuri mara 10 ya sisi
Muigizaji na msanii wa muziki ambaye pia ni shemela wa taifa, Olurotimi Akinosho "Rotimi" amesema kuwa Africa ni matajiri kul...
29
Wolper: Maskini Hatafuti Utajiri
Kutoka kwenye ukurasa wa Instagram wa Star wa Filamu Jackline Wolper ameandika ujumbe mzito kuhusiana na Wanawake jinsi wanavyopamabana kuhakikisha wanalisha Watoto wao. "Naku...

Latest Post