02
Chris Brown aikataa pesa ya shabiki
Mwanamuziki wa Marekani #ChrisBrown, ameripotiwa kurudisha pesa ya shabiki ambaye aliitoa kama malipo ili akutane na msanii huyo na kupiga naye picha. Shabiki huyo wa kike mwe...
27
Jinsi ya kuongeza thamani yako ukiwa chuoni
Na Michael Onesha Mtu wa kwanza kutambua na kuamini kuwa wewe ni wa thamani kubwa ni wewe mwenyewe. Rule namba moja ukiwa kama kijana wakike au wa kiume unatakiwa kujiona wa t...
25
Ajiziba uso ili aache kuvuta sigara
Kuacha sigara ni mchakato ambao baadhi ya watumiaji wamekuwa wakigonga mwamba kila uchwao, lakini kwa Ibrahim Yücel kutoka Uturuki ilikuwa rahisi baada ya kutengeneza kof...
27
Post Malone ataja sababu ya kuchora tattoo usoni
Rapa maarufu kutoka nchini Marekani #PostMalone amefunguka sababu ya kuchora tattoo usoni akidai kuwa alikuwa anatafuta mwonekano mzuri wa uso wake. Kwa mujibu wa tovuti ya Da...
18
Ayra uso kwa uso na Rihanna
Mwanamuziki kutoka nchini #Nigeria Ayra Starr amekutana na msanii mwenzake Rihanna, usiku wa kuamkia leo katika onyesho la Fenty X Puma lililofanyika jijini #London. Wawili ha...
07
Mwanamuziki FM Academia aanguka na kufariki akiwa jukwaani
Nyota mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Malu Stonch amefariki dunia usiku wa jana baada ya kuanguka ghafla jukwaani katika ukumbi wa Target uliopo Mbezi Beach wakati aki...
01
Pisi kali zinataka nini
Yaani hazieleweki zinataka nini au zinataka mwanaume wa aina gani. Mambo ya siksi paki, sijui urefu, sijui ujentlomani, sijui manini nini sijui. Tunawaka rasmi sasa msimamieni...
08
Abigail: nilienda tanga kujifunza kusonga ugali
Baada ya mwanamuziki wa #bongofleva nchini Abigail Chams ku-share video akiwa anasonga ugali, ameweka wazi kuwa alienda mkoani Tanga kwa ajili ya kujifunza kupika chakula hich...
29
Chrisean achora tattoo ya Ex wake usoni
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani #ChriseanRock amechora usoni tattoo yenye sura ya ex wake na mzazi mwenziye #Blueface ambaye kwa sasa anatumikia kifungo gerezani, ka...
23
Watumiaji tovuti za Mwananchi kuchangia fedha kidogo kusoma baadhi ya habari
Mhariri Maudhui Mtandaoni wa wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Zourha Malisa amesema kupitia mabadiliko yanayo...
22
Wanafunzi wa chuo msikariri maisha
Na Aisha Lungato Niaje niaje! wasomi, niliwakumbuka sana sasa leo nimerudi tena ndugu yenu nisiye na hiyana kuja kuwapa nondo ambayo itaweza kuwasaidia huko mbeleni mnakoeleke...
17
Osimhen afichua kinachofanya avae Maski
Nyota wa Napoli na mchezaji wa kimataifa kutoka nchini Nigeria, Victor Osimhen amefichua sababu za kutumia maski ya kuficha sehemu ya macho katika kila ‘mechi’. Ku...
15
Mambo ya kuzingatia unapotaka kuweka dreadlocks
Hellow!! vipenzi vyangu kama kawaida yangu lazima tukutane kwenye segment yetu pendwa ya Fashion ili kujuzana mambo mbalimbali kuhusu urembo na style tofauti tofauti za ndani ...
10
Wasiojulikana wavamia chombo cha habari
Watu wasiojulikana wanaodaiwa kuwa majambazi wamevamia Television ya serikali nchini Ecuador siku ya jana Jumanne na kuwaweka chini ya ulinzi waandishi wa habari waliokuwa wak...

Latest Post