Usiku wa Tuzo za Tanzania Comedy Award uliofanyika katika Ukumbi wa The Super Dome, Masaki, Februari 22, 2025. Umejaa hisia tofauti kwani washindi walisherehekea mafanikio yao...
Mkongwe wa muziki wa Hip-Hop nchini Marekani J Cole amemualika staa wa Afrobeat kutokea Nigeria 'Burna Boy' nyumbani kwake North Carolina ambapo kuna studio yake ya nyumbani n...
Baada ya msanii wa singeli nchini Dulla Makabila kupata nafasi ya kuongoza kwa kufanya vizuri kwenye muziki huo. Sasa ametangaza nia yake ya kufungua label ya muziki wa singel...
Kutokana na ugumu wa maisha, baadhi ya watu wameamua kujiajiri kwa kufungua biashara mbalimbali zinazoweza kuwaongezea kipato.
Kwa kulitambua hilo Mwananchi Scoop tumekusogeze...
Mama mzazi wa mfanyabiashara na mwanamitindo Hamisa Mobetto, Shufaa ameonesha furaha kufuatia na ndoa ya mwanaye huku akiweka wazi tuu anamshukuru Mungu kwa kumletea mkwe sahi...
Zanzibar. Mwanamuziki mwenye asili ya Congo, Christian Bella, leo Februari 16,2025, amesema viongozi wa Afrika wanatakiwa kushikamana ili kulinda amani.Bella ameyasema hayo wa...
Mahakama ya rufaa ya shirikisho nchini Marekani, imeunga mkono hukumu ya R. Kelly ya kifungo cha miaka 30 jela iliyotokana na kesi zilizokuwa zikimkabili za biashara ya usafir...
Baada ya video za mwanamuziki Mbosso kusambaa kwenye mitandao ya kijamii zikimuonyesha akiwa hospitali amelazwa. Msanii huyo ameweka wazi kuwa alikuwa akisumbuliwa na tatizo l...
Show ya Halftime ya Super Bowl imekuwa ikifanya vizuri miaka yote, ikianza kama tukio dogo la maandamano ya kutumia bendi na kisha kuwa tamasha kubwa linalowavutia mastaa wa m...
Kati ya watu ambao wamepata umaarufu kwenye mitandao ya kijamii nchini Tanzania, kutokana na mbwembwe walizofanya kwenye harusi ya msanii Jux na mkewe Priscilla ‘Hadiza&...
Mjukuu wa Mfalme kutoka Dubai, Sheikh Hamdan Bin Mohammed Bin Rashid Al Maktoum, aliwahi kuwavutia watu wengi huku akipokea pongeze kede kede baada ya kuacha kutumia gari yake...
Wakati mwanamuziki Kanye West akipambana kumrudisha mjini rapa Diddy, mambo yanaendelea kuwa magumu kwa msanii huyo, hii ni baada ya kukumbana na shitaka jingine lililofunguli...
Kesi inayomkabili Rapa A$AP Rocky imeendelea kupamba moto mahakamani huku ikidaiwa kuwa mwanamuziki huyo huwenda kuna siri anaificha ambayo hataki ifichuke.Kwa mujibu wa tovut...
Waandaaji wa mashindano ya Miss Côte d'Ivoire ‘Ivory Coast’ wameanzisha sera mpya kwa washiriki wa shindano hilo kutotumia nywele za bandia (mawigi) wakati w...