30
Davido azindua kozi ya muziki na sanaa Uganda
Mkali wa Afrobeat kutoka nchini Nigeria Davido amezindua ‘Kozi’ mpya ya Muziki na Sanaa katika Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Afrika Mashariki Kampala nchini Uganda....
09
Atakaye oa kwa Rais Museveni analipiwa mahari
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amesema huwa anakataa kupokea mahari kwa ajili ya binti zake, badala yake hulipa mahari kwa familia za vijana wa kiume wanaooa kwake.Hii ni kin...
07
Zari na shakibi wamaliza tofauti zao
Baada ya kuzuka sintofahamu kwa wanandoa Zari pamoja na mumewe Shakibi kuwa wameachana, wawili hao wamethibitisha kuwa wapo pamoja baada ya kuonekana Saudi Arabia.Kupitia ukur...
24
Mume wa Zari afungasha virago, arudi Uganda
Aliyekuwa mume wa mfanyabiashara Zari Hassan, Shakibi Lutaaya anadaiwa kufungasha virago vyake na kurudi nchini Uganda.Hii inakuja baada ya kusambaa kwa stori kupitia mitandao...
13
Aucho aiombea Taifa Stars
Mchezaji wa ‘timu’ ya Taifa ya Uganda na ‘klabu’ ya Yanga Khalid Aucho ameitakia kila la kheri ‘Taifa stars’ katika michuano ya AFCON 2023,...
02
Jinsi ya kupika donati za sukari ya kuganda
Uhali gani! mchakarikaji mwenzangu, mwisho wa mwezi huu embu tukae kidogo tuulizane umeingiza shilingi ngapi mwezi huu? au ndiyo patupu na upo tuu hapo hutaki kujishughulisha....
02
Fally Ipupa kufunguliwa mashitaka Uganda
Kampuni ya 243 Events ya kutoka nchini Uganda imepanga kumfungulia mashtaka mwanamuziki kutoka nchini Congo Fally Ipupa kudai haki yao baada ya mwanamuziki huyo kushindwa kuto...
27
Tanzania, kenya na uganda kuandaa AFCON 2027
Rasmi Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limepitisha mataifa ya Tanzania, Kenya na Uganda kuandaa michuano ya Afcon 2027. Kamati ya Utendaji CAF imetangaza uamuzi huo leo nchini ...
13
Aoa wake 7 kwa mpigo, Huku bibi harusi wawili wakiwa ni ndugu
Mwanaume mmoja ambaye ni mfanyabiashara maarufu kutoka nchini Uganda anayefahamika kwa jina la Ssaalongo Nsikonenne Habib amezua gumzo kupitia mitandao ya kijamii baada ya kuf...
06
Kocha wa Al Merreikh atishwa na ubora wa Yanga
‘Kocha’ Mkuu wa ‘klabu’ Al Merreikh, Osama Nabieh amesema kuelekea mchezo wao dhidi ya ‘klabu’ ya #Yanga utakaochezwa nchini Uganda tarehe ...
14
Eric Omondi atua Uganda na vazi la gunia
Mchekeshaji kutoka nchini Kenya Eric Omondi, ameendelea kuwafurahisha watu kwa aina ya ubunifu wa  mavazi anayotumia kuingilia kwenye nchi mbalimbali, awamu hii Eric yupo...
07
Wafumaniwa wakifanya ngono kanisani
Watu wawili ambao ni wapenzi wamekutwa wakifanya kitendo hicho eneo la Madhabau Nchini Uganda na kusababisha kikundi cha Waumini kadhaa kuapa kutoingia tena katika Kanisa...
04
Wafikishwa mahakamani kwa madai ya wizi
Wafanyakazi 4 wa kampuni ya JV SPEK LTD inayojenga mradi mkubwa wa bomba la mafuta kutoka Uganda hadi Tanga, Tanzania wamefikishwa mahakama ya hakimu mkazi wilaya ya Igunga Mk...
23
Uganda kupandisha umri wa kunywa pombe kutoka 18 hadi 21
Serikali ya Uganda inapanga kuongeza umri wa unywaji pombe kutoka miaka 18 hadi 21 ili kukabiliana na uraibu, afisa wa Wizara ya Afya ameeleza. Akizungumza katika Kongamano la...

Latest Post