09
Jux: Nilipanga Kufanya Sherehe Rwanda Lakini Priscy Amechoka
Baada ya sherehe iliyosimamisha nchi ya Nigeria na Tanzania kwa wakati mmoja ya mwanamuziki Juma Jux na mke wake Priscilla Ojo, sasa wawili hao kufanya sherehe nyingine Bongo....
09
Abigail Chams Aandika Historia Hii Kwenye Bongo Fleva
Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Abigail Chams, ameweka historia kwa kuwa msanii wa kwanza wa kike kutoka Tanzania kuwania tuzo ya kimataifa ya BET katika kipengele cha ‘Best...
09
Afande Kuwania Tuzo Za EAEA AWARDS
Wimbo pendwa wa Singeli kutoka kwa mashabiki hasa watumiaji wa mtandao wa TikTok ‘Afande’ ulioimbwa Dogo Paten akimshirikisha Zuchu umetajwa kuwania tuzo za &lsquo...
08
Abigail Chams Kuipeperusha Bendera Ya Tanzania Bet Awards 2025
Waandaji wa tuzo za BET wametoa orodha ya wasanii wanaowania tuzo hizo huku Tanzania ikiwakilishwa na msanii pekee wa Bongo Fleva, Abigail Chams.Abigail Chams amechaguliwa kuw...
08
Miaka 13 Ya Mavin Record Na Mafanikio Yake
Lebo ya muziki maarufu duniani kutokea Afrika, Mavin Record leo Mei 8, 2025 imetimiza miaka 13 tangu ilipoanzishwa tarehe kama ya leo mwaka 2012 na mtayarishaji wa muziki laki...
08
Miaka 15 Ijayo Wasanii Watafanya Remix Ya Nyimbo Gani
Kila ninaposikia nyimbo za wasanii wa zamani zikirudiwa sasa kitu cha kwanza kuja kichwani kwangu ni swali la “Wasanii wa miaka 10, 15 ijayo watafanya remix ya nyimbo ga...
08
WCB ya Diamond inachemka hapa
Lebo ya muziki nchini, Wasafi Classic Baby (WCB) inatajwa kama moja ya lebo kubwa Barani Afrika. Hasa ikiwa imetoa wasanii wakubwa kama vile Harmonize, Rayvanny, Zuchu, D Voic...
08
Shah Rukh Khan Awajibu Wanaomkosoa Kisa Met Gala
Baada ya kupokea ukosoaji mkubwa kutoka kwa mashabiki na wadau mbalimbali katika mitandao ya kijamii kuhusiana na vazi alilolivaa kwenye ‘Met Gala 2025’, mwigizaji...
08
Ugomvi wa Marioo unanunulika
Mitandaoni kunakuwa na mijadala ya watu maarufu wasiochukiwa. Katika soka anatajwa mtu kama N'golo Kante kwamba hata uwe na chuki vipi huwezi kumchukia, hana makuu, hana ...
07
Michael B. Jordan Hatotoa Ushahidi Kesi Ya Diddy
Mwigizaji kutoka Marekani ambaye amekuwa akihusishwa kwenye kesi za Diddy, Michael B. Jordan ameripotiwa kuwa hatotoa ushahidi katika kesi hiyo ya usafirishaji wa binadamu kwa...
07
Muziki wa singeli mbioni kuwa sehemu ya Urithi wa Dunia.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Palamagamba Kabudi amesema muziki wa singeli upo mbioni kutangazwa rasmi kuwa sehemu ya Orodha ya Urithi wa Dunia.Kabudi ameyase...
07
Kabudi: Migogoro ya wasanii imepungua
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Palamagamba Kabudi leo Mei 7,2025 akiwa bungeni jijini Dodoma amesema kwa mwaka 2024/25 migogoro ya wasanii imepungua.Waziri Kab...
07
Basata kuja na suluhisho kupunguza migogoro ya wasanii
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limetangaza kuwa lipo mbioni kuanzisha muundo wa mikataba ya kazi za muziki, ambao unalenga kupunguza changamoto zinazoikumba sekta hiyo nchi...
06
Aliyojiri Kesi Ya Diddy
Kati ya kesi iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu ni ya rapa kutoka Marekani Sean “Diddy” Combs ambapo mapema jana Mei 5,2025 kesi hiyo ilisikilizwa huku Diddy akikana m...

Latest Post