13
Miaka 28 imetimia tangu kifo cha Tupac Shakur
Tarehe kama ya leo mwanamuziki kutoa Marekani Tupac Shakur alifariki dunia baada ya kupigwa risasi katika mitaa ya Los Angeles nchini humo.Ikiwa ni miaka 28 sasa imepita tangu...
31
Mshukiwa wa mauaji ya Tupac anyimwa dhamana
Jaji wa Mahakama ya Wilaya ya Clark, Carli Kierny amemnyima tena dhamana Duane “Keffe D” Davis, mshukiwa wa mauaji ya marehemu mwanamuziki Tupac Shakur, mauaji yal...
24
Hit em up ya Tupac ndiyo wimbo bora wa hip-hop
Wimbo wa marehemu Tupac Shakur uitwao ‘Hit Em Up’ umetajwa na Billboard kuwa ndiyo wimbo bora wa muda wote huku ukishika nafasi ya kwanza katika tovuti hiyo.Kwa mu...
15
Questlove aikataa Hit Em Up ya Tupac
Mwigizaji na mtayarishaji wa muziki Marekani Questlove, amedai kuwa hakuwahi kuwa shabiki wa marehemu mwanamuziki Tupac wala kuikubali ngoma yake iitwayo ‘Hit Em Up&rsqu...
03
Chanzo, wasanii wengi wa hip-hop kufariki kwa kupigwa risasi
Matukio ya wasanii kupigana risasi yamekuwa yakisikika kila kukicha katika baadhi ya mataifa, kama ilivyotokea Februari 10, 2023 kwa msanii AKA kutoka nchini Afrika Kusini , k...
06
Mauaji ya Tupac, kwanini imechukua miaka 27 mtuhumiwa kukamatwa
KUFUATIA kukamatwa kwa mtuhumiwa wa mauaji ya Tupac Shakur, Duane Davis hivi karibuni kunaashiria mafanikio makubwa ya haki kutendeka katika tukio hilo la uhalifu ambalo kwa m...
30
Davis akamatwa kuhusishwa na kifo cha Tupac
Duane ‘Keefe D’ Davis ambaye alikuwa shahidi katika mauaji ya rapper Tupac Shakur, amekamatwa na ‘polisi’ akihusishwa moja kwa moja na mauaji ya msanii...

Latest Post