10
Dragusin aielewa Tottenham
Mchezaji kutoka ‘klabu’ ya #Genoa, #RaduDragusin amefikia makubaliano ya kwenda kukiwasha katika ‘timu’ ya #TottenhamHotspur. Kwa mujibu wa Sky Sports ...
13
Ange ‘kocha’ bora wa mwezi
‘Kocha’ wa ‘klabu’ ya Tottenham, Ange Postecoglou ameibuka tena kidedea baada ya kuchaguliwa kuwa ‘kocha’ bora wa mwezi Septemba ‘Lig...
21
Kane hana baya kwa Tottenham
Mwenyekiti wa ‘Klabu’ ya #TottenhamHotspur, #DanielLevy amesema kuwa wanampango wa kumrudisha ‘straika’, #HarryKane kwenye kikosi chao endapo ‘kl...
15
Mchezaji Richarlison anahitaji msaada wa kisaikolojia
Mchezaji wa ‘timu’ ya taifa ya Brazil Richarlison ameweka wazi kuwa kwa sasa anahitaji msaada wa ‘kisaikolojia’ atakaporudi England baada ya kupitia ch...
12
Son aomba radhi kukataa kushika Iphone, Akilinda mkataba wake
Mchezaji wa ‘klabu’ ya Tottenham Hotspurs, Heung Min-Son ameomba radhi kwa shabiki aliyemuomba kupiga naye picha na kisha kukataa kuishika simu ya shabiki huyo ain...
31
Jay–z mbioni kuinunua Tottenham hotspurs
Baada ya mmliki ‘klabu’ ya Tottenham Hotspurs, Joe Lewis kuwa na tuhuma za udanganyifu katika biashara ya soko la hisa, mwanamuziki wa Hip-Hop nchini Marekani, Jay...
25
Kane mbioni kuuzwa
Mmiliki wa ‘klabu’ ya Tottenham Hotspur F.C, Joe Lewis, atoa agizo kwa mwenyekiti wa ‘klabu’ hiyo Daniel Levy, kumuuza mchezaji Harry Kane endapo ataka...
27
Tottenham yatemana na kocha Antonio Conte
Baada ya tetesi kadhaa kupitia mitandao ya kijamii, hatimaye pande zote mbili zimeafikiana kuvunja mkataba na kocha mkuu Antonio Conte, na timu itakuwa chini ya uangalizi wa k...
22
Mbappe nahodha mpya Ufaransa
Mshambuliaji wa klabu ya Paris St-Germain (PSG) Kylian Mbappe ameteuliwa kuwa nahodha mpya wa timu ya taifa ya Ufaransa ambapo mshambuliaji huyo anamrithi mlinda mlango wa Tot...

Latest Post