Imeripotiwa kuwa baadhi ya wachezaji wa ‘klabu’ ya #ManchesterUnited bado hawajafanya maamuzi ya kusaini mikataba mipya ‘klabuni’ hapo wakisubiri kujua...
Ili filamu iwe na uhalisia ni lazima mwigizaji avae uhusika na kuufanya uwe maisha yake ya kila siku. Na hii ndiyo changamoto ambayo huwakuta baadhi ya waigizaji, lakini imeku...
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria Wizkid ameahidi kutoa misaada kwa watoto, Naira 100 milioni ambazo ni zaidi ya tsh 300 milioni kwa ajili ya sikukuu ya Christmas.Wizkid ameel...
Rapa kutoka nchini Marekani Lowell Grissom maarufu kama Young Lo amepigwa risasi na kuuawa nje ya Club huko Miami.
Kulingana na CBS news, rapa huyo alipigwa risasi alipo...
Na Asha Charles
Alooooo! Tuzo za TMA zimezua balaa kwa baadhi ya wasanii kutoa mapovu kutokutajwa katika listi ya tuzo hizo ambapo mmojawapo akiwa ni msanii kutoka lebo ya WCB...
Taarifa ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imeeleza kuwa mvua kubwa itanyesha kwenye mikoa takribani 15 ambapo baadhi ya maeneo ya Mikoa ya Iringa, Mbeya, Songwe...
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema mapigano bado yanaendelea kwenye mji muhimu mashariki mwa nchi hiyo wa Soledar ambao mamluki wa kundi binafsi la ulinzi kutoka Urusi...
Haloo weeh!! Haloo tenaa!! Yes kama kawaida yetu bwana ikiwa tunamlizia zile shamrashamra na hekaheka za sikuu ya Christmas bwana tukijiandaa kuupokea mwaka mpya wa 2023 mambo...
Timu ya madaktari wanaomtibu nguli wa soka wa Brazil, Edson Arantes do Nascimento maarufu kama Pele, imesema nyota huyo atabakia hospitali wakati wa siku kuu ya Krismasi akipa...
Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amesema hatma yake itatokana na uamuzi wa Halmashari Kuu ya Chama tawala (NEC) kutokana na tuhuma anazokabiliana nazo.
Ramaphosa ambae pi...
Hellow! It’s another Monday mwanangu sana. Kama kawaida yetu tunakusogezea mastori mbalimbali, basi bwana leo tumekusogezea story ya mwanakaka Petitman Wakuache ambae am...
Msanii wa muziki wa HipHop, Emmanuel Elibarick, maarufu Nay wa Mitego, ametangaza kujiondoa kwenye tuzo za muziki Tanzania(TMA).Taarifa hiyo imetolewa leo Alhamisi Machi 24,20...
Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania, Rajabu Abdul maarufu kama Harmonize ametangaza ujio wa tamasha lake ambali litafanyika Februari 14 mwakani.
Tamsha hilo ambal...