Kama ni mfuatiliaji wa muziki wa singeli ambao asili yake ni uswahili. Ni hakika umewahi kusikia wasanii wa muziki huo na mashabiki wakijinadi kuhusu namba. Wapo wanaojitambul...
Baada ya msanii wa singeli nchini Dulla Makabila kupata nafasi ya kuongoza kwa kufanya vizuri kwenye muziki huo. Sasa ametangaza nia yake ya kufungua label ya muziki wa singel...
Mtengeneza maudhui kutoka Tanzania Fanuel John Masamaki, maarufu kama Zerobrainer0, ametajwa kuwa mtengeneza maudhui wa TikTok bora na wakuangaliwa zaidi kwa mwaka 2025 Africa...
Tupac Shakur ni moja ya watu maarufu katika historia ya muziki wa hip-hop duniani, hiyo ni kutokana na alama zisizofutia alizoziacha kwenye tasnia ya muziki. Lakini licha ya m...
Mwigizaji Li Lianjie 'Jet Li' amewaacha mashabiki wake midomo wazi baada ya kufunguka kuwa amemkabidhi mke wake Nina Li Chi utajiri na fedha zake zote.Mwigizaji huyo mwenye ut...
Zimesalia siku chache tu kabla ya kuumaliuza mwaka 2024 na kuukaribisha mwaka mpya 2025. Kwenye burudani kuna matukio mengi kama ilivyo kwenye tasnia nyingine kama michezo amb...
Ukiichunguza jamii yetu. Utabaini matajiri wengi ni wenye elimu kiasi. Au hawakusoma. Wasomi wengi wana 'laifu' ya kawaida na huishia kujenga na gari ya kutembelea tena ya mko...
Msanii nguli wa muziki wa hiphop kutoka Marekani, Calvin Cordozar “Snoop Dogg amewataja ma-rapa anaowakubali muda wote akiwemo Ice Cube.Snoop ameachia listi hiyo ya mast...
Masoud Kofii Mchekeshaji maarufu nchini Masatu Ndaro 'Mjeshi Kikofia' ametangaza kuja na wimbo wake mpya utakao fahamika kama "Nimpe nini" aliowashirikisha G boy na Kontawa. N...
Mwanamuziki mkongwe nchini Rehema Chalamila ‘Ray C’ amewapongeza wasanii wa filamu nchini kwa umoja wao katika matatizo huku akiwataka wasanii wa Bongo Fleva kuiga...
Kuna methali isemayo mdharau mwiba mguu huota tende msemo huu umesadiki katika baadhi ya biashara ambazo watu wengi wamekuwa wakizichukulia poa lakini ndiyo hizo hizo ambazo z...
Ndiyo hivyo, hata mbuyu hufika wakati ukaanguka. Ndivyo inavyotokea kwa watu wengi. Ilianza kwa O. J. Simpson, Bill Cosby, R Kelly na wengine wengi na hasa wakihusishwa n...
Kutokana na tabia ya baadhi ya wasanii kudanganya umri na kutaja mdogo zaidi uoga wa uzee na ubaguzi unataja kuwa chanzo cha kufanya hivyo. Akizungumza na Mwananchi Scoop mwan...