10
8 wauawa Syria
Zaidi ya watu 8 wauwawa wakiwemo watoto watatu kwa mabomu yaliyokuwa ndani ya gari katika matukio mawili tofauti kaskazini mwa nchi ya Syria siku ya jumapili. Shirika linalofu...
03
Mtoto wa Gaddafi yuko mahututi
Mmoja wa watoto wa kiume wa marehemu kiongozi wa Libya Muammar Gaddafi, Hannibal Gaddafi ameripotiwa kuhamishwa kutoka jela ya Lebanon, ambako amekuwa kwenye mgomo wa kula, na...
21
Tetemeko jipya la Ardhi Uturuki na Syria watu wanasa kwenye vifusi
Matetemeko ya ukubwa wa 6.4 na 5.8 yalipiga kusini mashariki karibu na mpaka na Syria, ambapo matetemeko hayo yaliharibu nchi zote mbili mnamo 6 Februari. Kwa mara nyingine te...
16
Wakutwa hai siku 9 baada ya tetemeko la ardhi, Uturuki
Siku tisa baada ya maafa ya tetemeko la ardhi Uturuki na Syria, wanawake watatu na watoto wawili wamepatikana wakiwa hai. Baadhi ya wanawake hao walitambulika kwa majina ya Me...
15
Erdogan aapa kuijenga Uturuki upya
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan ameapa kuijenga nchi hiyo upya kufuatiwa na tetemeko la ardhi  lililotokea usiku wa kuamkia February 6 ambalo limeleta uharibifu mkub...
13
Vifo vya tetemeko la ardhi Uturuki na Syria vyafikia 36,000
Zoezi la uokoaji likikaribia mwisho idadi ya watu waliofariki kutokana na tetemeko la ardhi lililotokea Jumatatu iliyopita nchini Uturuki na Syria imeongezeka na kufikia zaidi...
09
Zaidi ya watu 15,000 wafariki katika tetemeko la ardhi
Idadi ya watu waliofariki katika matetemeko Mawili yenye kipimo cha Richa 7.8 na 7.6 yanazidi kuongezeka kadri muda unavyosogea, ambapo hadi hivi sasa Turkey  imerek...
09
14 wafariki dunia katika shambulizi Syria
Shirika linalofuatilia haki za binadamu nchini Syria limesema watu 14 wamefariki dunia baada ya shambulizi kufanywa katika msafara wa kijeshi wa waasi wanaoungwa mkono na Iran...

Latest Post