Kila ifikapo mwisho wa mwezi wafanyakazi kutoka mashirika mbalimbali akili yao huwa ni moja tuu kupokea mshahara ili aende kumwagilia moyo, lakini wengi wao hawaju maana ya ne...
DJ na mwanahabari mkongwe nchini, DJ Nicotrack ameelezea sababu inayosababisha nyimbo za zamani kudumu katika ubora na masikioni mwa mashabiki kuliko za sasa.Nicotrack amesema...
Soksi moja ya mfalme wa muziki wa Pop duniani, Michael Jackson ambayo aliivaa wakati wa tamasha nchini Ufaransa miaka ya 1990 imeuzwa kwa zaidi ya dola 8,000 sawa na Sh21 mili...
Mwanamuziki na mfanyabiashara maarufu Sean “Diddy” Combs ameamua kupindua meza, hii ni baada ya kutaka afutiwe makosa mawili yaliyobaki kwa kudai kuwa hakuvunja sh...
Mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini Zuchu ametoa onyo kwa mtu mmoja ambaye anadaiwa kuwa mwanamke kwa kumtafuta mumewe msanii Diamond Platnumz usiku.Kupitia ukurasa wake wa Inst...
Kwa sasa kusheherekea siku ya kuzaliwa ni jambo la kawaida duniani kote, lakini hapo zamani sherehe hiyo ilikuwa ikifanywa kwa ajili ya familia za Kifalme. Kwa mujibu wa histo...
Ikiwa siku kadhaa zimepita tangu mwanamuziki wa Nigeria Ayra Starr, kudaiwa kusainiwa chini ya lebo ya Jay Z Roc Nation. Hatimaye kitengo cha michezo kwenye kampuni hiyo Roc N...
Mkali wa hip-hop na mfanyabiashara kutoka Marekani, Sean “Diddy” Combs (55), ameiomba mahakama imwachie kwa dhamana ya dola milioni 50 pamoja na bondi ya nyumba ya...
Mkali wa Afrobeats kutoka Nigeria, Innocent Ujah Idibia maarufu kama 2Baba, ameripotiwa kufunga ndoa ya kimila na mpenzi wake mpya aitwaye Natasha Osawaru, sherehe ambayo ilif...
Ni takribani miezi kadhaa tangu mtengenezaji maudhui mtandaoni na mfanyabiashara Dotto Magari kumtambulisha msanii wake, Dogo Rema ambaye amekuwa gumzo katika mitandao ya kija...
Michael Jordan, si jina geni masikioni mwa wengi. Hii ni kutokana na umahiri wake katika mchezo wa mpira wa kikapu NBA. Licha ya jina lake kuwa maarufu, wengi hawajui kuhusu s...
Baadhi ya wasanii nchini waliochukua fomu kugombea majimbo mbalimbali wamewekwa kando na Kamati Kuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) huku wengine wakichekelea kupenya hatua inayof...
Kati ya maswali yaliyopo kwenye vichwa vya baadhi ya wadau wa muziki nchini ni sintofahamu ya uwepo wa Tuzo za Muziki Tanzania 'TMA' kwa mwaka 2025.Hii ni baada ya w...
Moja ya vitu vinavyowavutia watazamaji wa filamu za Kihindi ni zile nyimbo ‘Masongi’, ambayo husikika katika filamu hizo zikionesha waigizaji wakiimba.Licha ya baa...