31
Je Wajua, Mshahara Ulikuwa Unaitwa Pesa Ya Chumvi
Kila ifikapo mwisho wa mwezi wafanyakazi kutoka mashirika mbalimbali akili yao huwa ni moja tuu kupokea mshahara ili aende kumwagilia moyo, lakini wengi wao hawaju maana ya ne...
31
Nicotrack Ataja Sababu Muziki Wa Zamani Kudumu
DJ na mwanahabari mkongwe nchini, DJ Nicotrack ameelezea sababu inayosababisha nyimbo za zamani kudumu katika ubora na masikioni mwa mashabiki kuliko za sasa.Nicotrack amesema...
31
Soksi Ya Michael Jackson Yauzwa Sh21 Milioni
Soksi moja ya mfalme wa muziki wa Pop duniani, Michael Jackson ambayo aliivaa wakati wa tamasha nchini Ufaransa miaka ya 1990 imeuzwa kwa zaidi ya dola 8,000 sawa na Sh21 mili...
31
Diddy Apindua Meza, Ataka Kuachiwa Huru
Mwanamuziki na mfanyabiashara maarufu Sean “Diddy” Combs ameamua kupindua meza, hii ni baada ya kutaka afutiwe makosa mawili yaliyobaki kwa kudai kuwa hakuvunja sh...
31
Zuchu Hataki Mchezo Na Mumewe
Mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini Zuchu ametoa onyo kwa mtu mmoja ambaye anadaiwa kuwa mwanamke kwa kumtafuta mumewe msanii Diamond Platnumz usiku.Kupitia ukurasa wake wa Inst...
30
Huyu Hapa Muasisi Wa Birthday
Kwa sasa kusheherekea siku ya kuzaliwa ni jambo la kawaida duniani kote, lakini hapo zamani sherehe hiyo ilikuwa ikifanywa kwa ajili ya familia za Kifalme. Kwa mujibu wa histo...
30
Wanasoka wanane Afrika wamwaga wino kampuni ya Jay Z
Ikiwa siku kadhaa zimepita tangu mwanamuziki wa Nigeria Ayra Starr, kudaiwa kusainiwa chini ya lebo ya Jay Z Roc Nation. Hatimaye kitengo cha michezo kwenye kampuni hiyo Roc N...
30
Diddy aomba tena dhamana, aweka bondi nyumba yake
Mkali wa hip-hop na mfanyabiashara kutoka Marekani, Sean “Diddy” Combs (55), ameiomba mahakama imwachie kwa dhamana ya dola milioni 50 pamoja na bondi ya nyumba ya...
30
2baba Afunga Ndoa Na African Queen Namba Mbili
Mkali wa Afrobeats kutoka Nigeria, Innocent Ujah Idibia maarufu kama 2Baba, ameripotiwa kufunga ndoa ya kimila na mpenzi wake mpya aitwaye Natasha Osawaru, sherehe ambayo ilif...
30
Kama masihara, Dogo Rema huyoo anga za Bongo Fleva!
Ni takribani miezi kadhaa tangu mtengenezaji maudhui mtandaoni na mfanyabiashara Dotto Magari kumtambulisha msanii wake, Dogo Rema ambaye amekuwa gumzo katika mitandao ya kija...
30
Siri jumba la Michael Jordan zaanikwa
Michael Jordan, si jina geni masikioni mwa wengi. Hii ni kutokana na umahiri wake katika mchezo wa mpira wa kikapu NBA. Licha ya jina lake kuwa maarufu, wengi hawajui kuhusu s...
29
Vicheko, vilio wasanii walioomba kugombea CCM
Baadhi ya wasanii nchini waliochukua fomu kugombea majimbo mbalimbali wamewekwa kando na Kamati Kuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) huku wengine wakichekelea kupenya hatua inayof...
29
Kauli Ya Basata, Kuhusu Ukimya Tuzo Za Muziki Tanzania 2025
Kati ya maswali yaliyopo kwenye vichwa vya baadhi ya wadau wa muziki nchini ni sintofahamu ya uwepo wa Tuzo za Muziki Tanzania 'TMA' kwa mwaka 2025.Hii ni baada ya w...
29
Mfahamu Udit, mkali wa Masongi filamu za kihindi
Moja ya vitu vinavyowavutia watazamaji wa filamu za Kihindi ni zile nyimbo ‘Masongi’, ambayo husikika katika filamu hizo zikionesha waigizaji wakiimba.Licha ya baa...

Latest Post