Baada ya kuondoka na tuzo ya Oscar 2024, kama Mwigizaji Bora wa Kiume, Cilian Murphy ameripotiwa kuonekana katika muendelezo wa filamu ya ‘Peaky Blinders’.Taarifa ...
Mfanyabiashara na CEO wa ‘UnitedMasters’ Steve Stoute kutoka nchini Marekani amedai kuwa mwanamuziki Selena Gomez alimtumia mkali wa Afrobeat Rema kurudisha umaaru...
Siku chache zilizopita kupitia ukurasa wa X wa mchekeshaji na mtangazaji maarufu duniani Steve Harvey, kutoka nchini Marekani ulitumwa ujumbe ukiwa na taarifa yenye kudai kuwa...
Mtoto wa miaka miwili aliefahamika kwa jina la Jaiangelis Stevenson kutoka Los Angeles nchini California amejiua kwa kujipiga risasi bahati mbaya, siku ya Jumapili, Julai 9, K...
Ooooooooh! Ama kweli kuishi kwingi ndo kuona mengi, na siku zote tuliambiwa kuwa uyaone sio maghorofa ni mambo kama haya basi bwana leo katika uniqure story tunakusogezea mwan...
Ebwana eeeh uamuzi huo umechukuliwa baada ya kupata kipigo cha magoli 3-0 dhidi ya Fulham katika mchezo wa Premier League Villa imeshinda mechi 2 za EPL kati ya 11 msimu huu,...
Na Habiba MohammedEbwanaa mambo vipi? Basi bhana kwenye mitandao ya kijamii kumetaradadi sio powa, staa wa bongo movie Steve Nyerere ameandika ujumbe kuntu kama tunavyojuaga y...
Mchekeshaji maarufu hapa nchini, Steve Nyerere ametoa ujumbe mzito ambao umewataka watu kukumbuka kwamba hukumu ni kazi ya Mwenyezi Mungu pekee.
Kupitia ukurasa wake wa Instag...
Wasanii wa muziki wa Bongo fleva wamemtaka msanii wa filamu nchini Steven Mengele maarufu Steve Nyerere ang’atuke kwenye uongozi ndani ya saa 48, kwa madai kuwa hawamtam...
Ohoo!! Mambo yametaradadi bwana kwa msanii Young daresalama pamoja na Stevernb huenda wakaachia ngoma siku za hivi karibuni.
Nikwambie tu kuwa hii imekuja baada ya Young dee k...