06
Rihanna na Ayra Starr waonekana pamoja kwa mara nyingine
Mkali wa Afrobeat kutoka Nigeria Ayra Starr ameendelea kushika vichwa vya habari baada ya kuonekana Rihanna wakiwa matembezi pamoja.Kwa mujibu wa baadhi za tovuti zinaeleza ku...
11
Dj khaled amtamani Rihanna, Awatuma mashabiki kufikisha ujumbe
Mtayarishaji wa nyimbo kutoka nchini Marekani DJ Khaled amewataka mashabiki wake kumshawishi Rihanna kushiriki katika albumu yake mpya. Mkali huyo mwenye umri wa miaka 48 amet...
28
Portable: Muziki unalipa kuliko mpira
Msanii kutoka Nigeria Habeeb Okikiola ‘Portable’ amefunguka kwa kudai kuwa muziki unalipa kuliko mpira wa miguu huku akishangazwa na wanaodai kuwa wachezaji mpira ...
20
Sura ya Rihanna kutumika kwenye manukato ya ‘Dior’
Mwanamuziki kutoka visiwa vya Barbados, #Rihanna amepata shavu katika kampuni ya ‘Christian Dior’ inayojihusisha na masuala ya utengeneza nguo na urembo kwa kuteng...
18
Fat Joe: Chris Brown asingejihusisha na mapenzi angekuwa kama MJ
‘Rapa’ mkongwe kutoka nchini Marekani, #FatJoe amedai kuwa #ChrisBrown asingejiingiza kwenye mapenzi angekuwa kwenye kiwango sawa na marehemu #MichaelJackson. Joe ...
12
Rihanna afunguka kuhusu ujauzito na kustaafu muziki
Baada ya kuzuka tetesi kupitia mitandao ya kijamii kuhusiana na mwanamuziki kutoka visiwa vya Barbados, Rihanna kutarajia kupata mtoto wa tatu na mpenzi wake A$AP Rocky, msani...
11
Rihanna anatarajia kupata mtoto wa tatu
Baada ya kuzua taharuki kufuatia ‘tisheti’ yake iliyoandikwa nimestaafu, sasa imeripotiwa kuwa mwanamuziki Rihanna anatarajia kupata mtoto wa tatu na mpenzi wake A...
07
Tisheti ya Rihanna yachanganya mashabiki
Mwanamuziki na bilionea wa kwanza kutoka katika visiwa vya Barbados, Rihanna amezua hofu kwa mashabiki baada ya kuvaa 'tisheti' iliyoandikwa nimestaafuRihanna alivaa tishati h...
07
Akili bandia yatumia kudanganya uwepo wa Rihanna Met Gala
Baada ya kuripotiwa kuwa mwanamuziki Rihanna hakuweza kuhudhuria katika tamasha la mitindo la ‘Met Gala’ lililofanyika nchini Marekani, baadhi ya watu wametengenez...
07
Rihanna aikacha Met Gala 2024
Wakati wadau mbalimbali wakisubiri kuona muonekano wa mwanamuziki Rihanna katika usiku wa tamasha la mitindo duniani ‘Met Gala’ lililofanyika katika ukumbi wa &lsq...
02
Tyla awajibu wanaomfananisha na Rihanna
Japo siyo mbaya mtu kulinganishwa na mtu mwingine lakini kwa mwanamuziki kutoka nchini Afrika Kusini Tyla ameonekana kutopendezwa na suala hilo, hii ni baada ya wadau kuungani...
30
Rihanna: Nitavaa kawaida sana kwenye Met Gala
Ikiwa zimebaki siku chache tuu kuelekea tamasha la mitindo duniani lijulikanalo lijulikanalo kwa jina la ‘Met Gala’ mwanamuziki Rihanna amedai kuwa mwaka huu atava...
18
Ayra uso kwa uso na Rihanna
Mwanamuziki kutoka nchini #Nigeria Ayra Starr amekutana na msanii mwenzake Rihanna, usiku wa kuamkia leo katika onyesho la Fenty X Puma lililofanyika jijini #London. Wawili ha...
11
Rihanna: Najiona mchafu nikiwa na ASAP Rocky
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani #Rihanna ameeleza kuwa anajiona mchafu akiwa na mpenzi wake #A$APRocky. Rihanna amemsifia mpenzi wake huyo kwa kueleza kuwa ASAP Rocky huwa ...

Latest Post