Rhobi Chacha Taasisi ya Aisha Masaka Foundation, iliyoanzishwa na mchezaji wa Timu ya Taifa ya Wanawake ya Tanzania na klabu ya Brighton & Hove Albion F.C. ya Uingereza, A...
Meneja wa mwanamuziki wa Singeli, Msaga Sumu, Khalid Ali au Dj Msolopa, amethibitisha msanii huyo kupata ajali huku chanzo chake akidai ni bodaboda.Akizungumza na Mwananchi, m...
Mshindi wa Grammy na mkali wa Afrobeats kutokea Nigeria, Tems amesema huu ni mwaka wa tatu sasa anaishi London, Uingereza kwa ajili ya shughuli zake za kimuziki pamoja na mamb...
Rhobi Chacha
Msanii wa Bongo Fleva, Chino Kidd amesema pamoja na umaarufu wake anahitaji sana kurudi shule ili aongeze uwezo wake wa kuimba.Chino ambaye anapendelea kuimba mti...
Mwalimu Abdul Malik maarufu kama ‘Tube Master’ mwenye umri wa miaka 42 kutoka nchini India amekuwa akiwavutia wengi kufuatia na kujitoa kwake, ambapo kwa takribani...
Ikiwa ni wiki mmoja imepita tangu kesi ya rapa wa Marekani, Diddy Combos ikiendelea kuunguruma mahakamani huku baadhi ya watoa mashtaka wakianza kutoa ushahidi akiwemo aliyeku...
Muziki unapopigwa na umati kuanza kucheza kwa furaha, si rahisi mtu kufikiria mara mbili kuhusu nani aliyesimama nyuma ya vifaa vya DJ, na punde anapogundua kuwa aliyenyuma ya...
Msongo wa mawazo, ni kawaida katika maisha ya kila siku, lakini jambo hilo likiwa endelevu linaweza kukuharibia mfumo mzima wa maisha na kujikuta ukiingia katika njia isiyo sa...
Baada ya ukimya wa muda mrefu, mwanamuziki kutoka visiwa vya Barbados, Rihanna anatarajia kuachia wimbo mpya Ijumaa Mei 16,2025.Kwa mujibu wa tovuti ya Billboard, Rihanna ataa...
Mwanamuziki Barnaba Classic, ameweka wazi siri inayomfanya kuendelea kufanya vizuri kwenye gemu ya muziki akieleza kuwa ni nidhamu, heshima, muda pamoja na ushindani wa vitend...
Akihitimisha siku ya pili ya kutoa ushahidi katika kesi ya shirikisho inayomkabili Sean "Diddy" Combs. Mwanamuziki Cassie Ventura alilia kwa uchungu huku akifichua kwamba aliw...
Mwanamuziki Harmonize amekanusha kauli ya aliyekuwa msanii wake Ibraah ya kumdai kiasi cha Sh 1 Bilioni ili aweze kutoka katika lebo ya ‘Konde Gang’.Kupitia ukuras...
Msanii wa muziki wa Singeli ambaye pia ni Dj wa kimataifa, Dj Travella ameweka wazi kuwa lugha ya kiswahili kwenye muziki huo kwa mashabiki wa nje ya Tanzania sio tatizo.Trave...
By Rhobi Chacha Msanii Ibraah ameondoka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) na kusema wamezungumzia migogoro iliyopo kati yake na boss wake Harmonize.Ibraah amezungumza na waand...