04
Wema sepetu: Filamu za tanzania hazitakuwa kama zamani tena
Baada ya mwigizaji mkongwe na aliyewahi kuwa Miss Tanzania mwaka 2006, Wema Sepetu kufika nchini Korea kwa ajili ya ziara ya mafunzo kuhusiana na mswala mazima ya tasnia ya ui...
18
Ngoma iliyomleta mjini marehemu Costa Titch yazidi kukimbiza Youtube
Wimbo wa marehemu mwanamuziki kutoka Afrika Kusini Costa Titch wa ‘Big Flexa’ umeendelea kukimbiza kupitia mtandao wa ...
29
Karen: Endeleeni kumuombea baba angu
Mwanamuziki #MalkiaKaren amewashukuru ndugu, jamaa na marafiki ambao walishiriki kwenye msiba wa Baba yake mzazi  aliyekuwa mtangazaji wa Clouds FM,  Gardiner Habash...
27
Mama alivyorudisha tabasamu kwa binti yake
Mwanamke mmoja kutoka Utah nchini Marekani aitwaye Daniella amerudisha tabasamu kwa binti yake wa miaka saba aitwaye Gianessa Wride baada ya kubuni njia inayoweza kuwa mbadala...
04
Rangi za kucha zinavyoleta muonekano wa kipekee
Karibu tena katika ulimwengu wa fashion ili kufahamu yanayohusu urembo na mitindo mbalimbali ya kisasa.Leo tutazungumzia upakaji wa rangi kwenye kucha ulivyokuwa kwa kiasi kik...
23
Kiti cha muundo wa nge, maalum kwa wanaobeti
Kampuni ya Cluvens imetoa kiti cha ‘teknolojia’ chenye muundo wa Nge kiitwacho ‘Scorpion Computer Cockpit’ kwa dhumuni la kuwarahisishia watumiaji wa k...
18
Muuza vitafunwa mwenye muonekano wa kipekee
Wanasema jinsi utavyopenda na kuitunza kazi yako ndivyo watu wengine wataiheshimu. Mfahamu Jideobi Chiamaka Favour mwanadada kutoka nchini Nigeria ambaye amewashangaza wengi k...
04
Maajabu ya sharubu za Paka
Moja kati ya wanyama wafugwao majumbani ni paka, huku wengine wakiwatumia kwa ajili ya kumaliza panya na wengine huwafuga kwa kupenda tu. Kati ya vitu ambavyo humpa paka muone...
14
Patachimbika Diamond, Rema na Asake kukiwasha jukwaa moja
Waandaji wa tamasha la #Afronation tayari wameachia majina ya wasanii watakao tumbuiza katika tamasha hilo linalotarajiwa kufanyika Juni 26-28 mwaka 2024, mjini Portimao nchin...
12
Yulimar ateuliwa kuwania tuzo mwanariadha bora wa mwaka
Umekuwa mwaka mzuri kwa mwanariadha kutoka nchini Venezuela, #YulimarRojas si kwa sababu tu alifuzu kwenye michezo ya Olimpiki’ lakini pia siku ya jana ameteuliwa kuwani...
07
Harmonize: Tusonge mbele bado hatujachelewa
Mwanamuziki #Harmonize amewakumbusha wasanii wenzake kuwa zamani msanii akitoa wimbo wa kingereza ilikuwa ni kituko na kuwataja baadhi ya wasanii wa zamani walio pambania kuim...
13
Waziri: Ajira vyuo vikuu kutozingatia ufaulu pekee, waombaji wafanyiwe usaili
Serikali imetangaza kuongeza vigezo vya Utoaji Ajira vyuoni badala ya kuangalia ubora wa Ufaulu (GPA), sasa waombaji watapimwa kwa...
13
Martin Kadinda: Mwanamitindo Mwenye Kipaji cha pekee
Na Jacqueline Mandia  Martin Kadinda ni Mwanamitndo maarufu sana katika tasnia nzima ya mitindo nchini Tanzania, Kijana huyu aliianza safari yake katika ulimwengu wa miti...
25
Dalili kwamba mwanaume uliye naye si wako pekee yako
Wakati mwingine ni vigumu kuamini, lakini jambo hili huwatokea wanawake wengi kwamba wanaume wanaotoka nao kuna uwezekano mkubwa wakawa wanatoka na wanawake wengine kwa nyakat...

Latest Post