20
Messi afungua studio aipa jina la alipozaliwa
Nyota wa kimataifa wa soka, ambaye kwa sasa anachezea klabu ya Inter Miami CF na timu ya taifa ya Argentina Lionel Messi ameripotiwa kufungua studio aliyoipa jina la ‘52...
20
Filamu Ya 28 Days Later yarekodiwa kwa kutumia Iphone 15
Mwendelezo wa filamu maarufu ya ‘28 Days Later’ inayotarajiwa kutoka mwaka 2025 imeripotiwa kurekodiwa kwa kutumia simu ya Iphone 15 jambo ambalo limefanya mashabi...
20
Talaka sio vita, Jennifer Na Ben waonekana pamoja
Mwanamuziki Jennifer Lopez na aliyekuwa mumewe Ben Affleck wameendelea kuonekana pamoja licha ya wawili wao kutarajia kupeana talaka.Lopez na Ben walionekana pamoja katika usi...
20
Wakili wa Serikali afichua mawasiliano ya Diddy na wanaomtuhumu
Ni siku nyingine tena madhila yakiwa yanaendelea kumuandama nguli wa muziki wa Hip-Hop duniani Sean ‘ Diddy’ Combs, ambapo upande wa mashtaka jana Septemba 19 umef...
19
Mastaa wa bongo waiteka youtube Kenya
Baadhi ya wanamuziki wa Bongo Fleva nchini wametajwa kuongoza orodha ya wasanii wanaotazamwa zaidi kupitia mtandao wa Youtube nchini Kenya.Kupitia blogu ya ‘Nairobi Goss...
19
Tyla: Mtoto wa 2000 anavyomfunda Diamond
Mwimbaji wa Afrika Kusini, Tyla, 22, hivi karibuni ameshinda tuzo ya MTV Video Music Awards (VMAs) 2024, mafanikio haya ni somo lingine kwa staa wa Bongofleva, Diamond Platnum...
19
Video fupi ya MJ yafikisha watazamaji bilioni 1
Video fupi ya marehemu mwanamuziki Michael Jackson (MJ) kutoka Marekani iitwayo ‘Thriller’ imefikisha watazamaji (views) bilioni 1 katika mtandao wa YouTube.Filamu...
19
Aliyejitoa Zabron Singers afunguka
Baada ya kuzuka minong’ono kupitia mitandao ya kijamii ikidai kuwa aliyekuwa mwanamuziki wa kundi maarufu la nyimbo za Injili, Jamila Dotto kuwa ameondoka katika kundi k...
19
Diddy agonga mwamba, mahakama yatupilia mbali rufaa ya kuomba tena dhamana
Mwanzoni mwa wiki hii, Diddy alikamatwa kufuatia miezi kadhaa ya kesi za madai na tuhuma nzito ambapo kwa mujibu wa tovuti ya TMZ,...
18
Aliyetamba na wimbo wa Jambo Bwana afariki dunia
Mwanamuziki wa Kenya Teddy Kalanda Harrison ambaye alipata umaarufu kupitia wimbo wa ‘Hakuna matata/Jambo bwana’ amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 72.Taarifa ...
18
Tiwa Savage aomba kutafsiriwa ngoma ya G-Nako Na Diamond
Mwanamuziki kutoka Nigeria Tiwa Savage ameomba kutafsiriwa wimbo wa ‘Komando’ wa mwanamuziki G Nako na Diamondplatnumz.Hiyo ni baada kusikia jina lake likitajwa ka...
18
Ngoma ngumu kwa Diddy, vilainishi nyumbani kwake vyageuka gumzo
Ikiwa ni siku moja imepita tangu mwanamuziki wa hip-hop Marekani Sean 'Diddy' Combs kutiwa nguvuni, ripoti mpya ya kilichokutwa kwenye nyumba zake yatolewa.Kwa mujibu wa waend...
18
P Diddy anyimwa dhamana kesi ya uhalifu wa kingono
Mwanamuziki wa Marekani, Sean "Diddy" Combs, anayekabiliwa na mashtaka ya uhalifu wa kingono, anaendelea kuzuiwa kutoka mahabusi hadi kesi yake itakaposikilizwa tena.Hakimu wa...
17
Marioo aingia studio na Bien
Baada ya mwanamuziki Marioo kutua nchini Kenya na kupokelewa kwa shangwe, ameingia studio na msanii Bien.Kupitia ukurasa wa Instagram wa Marioo amechapisha picha akiwa na msan...

Latest Post