Wana sayansi kutoka nchini Marekani, wamethibitisha kuwa mamba ni mmoja kati ya wanyama ambao wana uwezo wa kupata ujauzito na kuzaa bila ya mamba dume.
Kwa mujibu wa tovuti m...
Afisa Habari na Mawasiliano wa ‘klabu’ ya #SimbaSC, #AhmedAlly amedai kuwa ‘klabu’ ya #Wydad ni mnyama mkali aliyesinzia hivyo wanatakiwa kujiandaa kuk...
‘Rapa’ kutoka nchini #Marekani, #FrenchMontana amekabidhiwa mnyama aina ya Pundamilia kama zawadi katika siku yake ya kuzaliwa.#Montana amepewa zawadi hiyo na mara...
Kama unadhani duniani umeona kila kitu, utakuwa unajiongopea kwani kila siku yanaibuka mambo mpya huku yapo ya zamani pia ambayo bado huyafahamu. Katika ulimwengu ni nadra san...
Ni ajabu na nadra sana kuona viumbe wenye vichwa viwili, kwa haraka unaweza dhani upo ndotoni, lakini ukweli ni kwamba viumbe wa aina hiyo wapo na wanaishi kama waishivyo weng...
Duniani kuna mengi ya kustaajabu na kufurahisha, ukizungumzia vitu asilia basi suala kama hili huwezi kuacha kuligusia kuhusiana na viumbe wenye ulemavu wa ngozi.
Ukiangalia b...
Mwanaume mmoja nchini Kenya, mwenye umri wa miaka 45 aliefahamika kwa jina la John Rugala, amefariki kwa kujiua baada ya Mke wake kuripotiwa kukataa kumpikia kuku akiwa nyumba...
Wakenya watatu washtakiwa kwa jaribio la kusafirisha chungu (sisiminzi) wenye thamani ya shilingi 300,000 za Kenya bila kibali kutoka shirika la Wanyama Pori nchini humo.
Wast...
Kumekuwa na minong’ono mingi kuhusiana na mwanamuziki wa bongo fleva Anjella kuwa kimya kwa muda mrefu bila kutoa nyimbo, mwanadada huyo ameeleza sababu ya ukumya wake b...
Mhubiri Ronald Wanyama, anayejulikana pia kama Nabii Yohana raia wa Kenya, ametakiwa kufika mbele ya Kamanda wa Polisi wa Bungoma, Juni 2, 2023 kwa ajili ya kujieleza. Mhubir...
Mipango inaendelea ya kuwezesha shule kujumuisha nyama ya nguruwe katika ratiba ya chakula nchini Rwanda kama njia ya kutokomeza utapiamlo.
Olivier Kamana, Katibu Mkuu wa Wiza...
Watu saba wamejeruhiwa na kupelekwa Hospitali ya Kairuki kwa ajili ya matibabu baada ya lifti kuporomoka kutoka ghorofa ya 10 katika jengo la Millenium Tower lililopo Kijitony...