27
Grealish anusurika kuanguka paredi ya Man City
Mchezaji wa ‘klabu’ ya Manchester City, Jack Grealish anusurika kuanguka kwenye basi la wazi la Manchester City walilokuwa wakilitumia katika paredi ya kushehereke...
15
Carragher ampa maua yake Emery
Mwanasoka wa zamani #JamieCarragher amemtaja kocha wa ‘klabu’ ya #AstonVilla, #UnaiEmery kuwa ndiye kocha bora zaidi katika msimu huu kwenye ‘ligi kuu ya #En...
13
Bondia Coleman anusurika na kifo kwenye ajali ya moto
Bingwa wa zamani wa UFC Mark Coleman (59) maarufu kama ‘The Hammer’ ameripotiwa kuwa katika hali mbaya hospitalini baada ya kuwaokoa wazazi wake katika ajali ya mo...
22
Dani Alves atupwa jela miaka minne na nusu kwa ubakaji
Nyota wa zamani wa Brazil, Dani Alves amehukumiwa kwenda jela miaka minne na nusu kwa kosa la ubakaji, hukumu hiyo iliyosomwa Leo Februari 22 katika Mahakama iliyopo nchini Hi...
10
Sony music wanunua nusu ya kazi za MJ
Kampuni ya muziki kutoka nchini Marekani ‘Sony Music’ imeripotiwa kununua asilimia 50 ya nyimbo za marehemu Mfalme wa Pop Michael Jackson.Dili hilo limekamilika kw...
07
Mfahamu Nyoka anayeigiza kufa, Anapohisi hatari
Kama tunavyojua hakuna jambo kubwa kama kuwa hai, katika kuhakikisha uhai wao unaendelea, nyoka aina ya ‘Eastern hognose snake’ wanaopatikana zaidi Amerika ya Kusi...
05
Utafiti: Nusu ya vijana wenye miaka 18 hadi 29 wanaishi kwa wazazi
Kutokana na utafiti uliofanywa mwaka jana  na kituo cha Pew Research, umegundua kuwa karibia nusu ya vijana wote nchini Marekani walio na umri kati ya miaka 18 hadi 29 ba...
04
Kocha wa mali aililia nusu finali AFCON
‘Kocha’ wa ‘timu’ ya Taifa  #Mali, #EricChelle, amwagiwa maji ili kupooza kichwa huku akilia baada ‘timu’ yao kutolewa  katika ma...
16
Jose Mourinho atimuliwa kisa matokeo mabaya
‘Klabu’ ya #ASRoma wamemfuta kazi aliyekuwa ‘kocha’ wa ‘timu’ hiyo #JoseMourinho, baada ya kufungwa bao 3-1 na ‘klabu’ ya ...
30
Mchezaji Marcus anusurika kifo
Mchezaji wa zamani wa ‘klabu’ ya #Tottenham #MarcusEdwards amenusurika kifo baada ya kupata ajali wakati akielekea mazoezini akiwa katika gari aina ya Range Rover ...
12
Mrembo afariki baada ya upasuaji
Mwanamitandao kutoka nchini #Brazil #LuanaAndrede amefariki dunia muda mchache baada ya kufanyiwa Surgery, tukio hilo lilitokea katika Hospitali ya São Luiz huko S&atil...
06
Bruno mtu na nusu saudi arabia
Inadaiwa kuwa nahodha wa ‘klabu’ ya #ManchesterUnited, #BrunoFernandes, ni kivutio cha ‘klabu’ mbalimbali kutoka nchini Saudi Arabia, na inaelezwa kuwa...
24
Che Malone apata ajali, Simba yawatoa hofu mashabiki
Mchezaji wa ‘klabu’ ya Simba SC, Che Fondon Malone ameripotiwa kupata ajali ya gari usiku wa kuamkia leo maeneo ya Shule ya Feza Mikocheni wakati akitokea Airport ...
11
Jinsi ya kutengeneza peanut butter
Haya kumekucha jamani siku zinakimbia hatuna muda wa kujieleza, mwendo ni uleule kufanya biashara na kuongeza kipato si kukaa kizembezembe. Leo katika segment yetu ya biashara...

Latest Post