Kwa mujibu wa ‘Hollywood Reporter’ nyimbo za marehemu Rapa Notorious B.I.G. zimewekwa sokoni kwa ajili kuuzwa kwenda kampuni ya ‘Primary Wave’ kwa dola...
Marehemu Tupac Shakur ni moja kati ya wasanii maarufu wa hip-hop duniani waliofanya makubwa katika tasnia ya muziki. Lakini licha ya umaarufu wake na mafanikio kedekede msanii...