Tamasha la Muziki la Sauti za Busara la 22, lililoanza Februari 14,2025, hatimaye limetamatika leo Februari 16, 2025 kwa burudani ya kusisimua kutoka kwa wasanii wa ndani na n...
Kwa mujibu wa utafiti uliyofanywa na ‘Chuo Kikuu cha Baylor’ umeeleza kuwa ulaji wa tambi mara kwa mara haswa mara mbili hadi tatu kwa wiki, umehusishwa na hatari ...
Mwigizaji Li Lianjie 'Jet Li' amewaacha mashabiki wake midomo wazi baada ya kufunguka kuwa amemkabidhi mke wake Nina Li Chi utajiri na fedha zake zote.Mwigizaji huyo mwenye ut...
Unakatiza zako kitaa. Iwe Mlimani City ama Sinzani kwenye maduka yao yale ya shumizi na vijora. Mara paap unakutana na karembo flan hivi amazing. Unaona kukaacha kapite hivi h...
Mwanamuziki anayefanya vizuri ndani na nje ya nchi Diamond ameripotiwa kuingiza mkwanja mrefu kupitia mtandao wa kusikiliza na kutazama muziki wa YouTube.Kwa mujibu wa mtandao...
Naibu Waziri wa Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Hamis Mwinjuma ‘Mwana FA’ amesema kuwa katika kipindi cha Septemba 2023 hadi Novemba 2024 COSOTA kwa kushir...
Kwa mujibu wa utafiti uliochapishwa kutoka tovuti ya ‘European Heart Journal’ unaonesha kuwa kufurahia kikombe cha kahawa asubuhi kunaweza kupunguza hatari ya mago...
Mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini Anjella ameweka wazi kuwa kwa sasa anaacha kabisa kuimba nyimbo za Bongo Fleva huku akidai kuwa anarudi kumtumikoa Mungu.“Bye Bye Bongo...
Mwanamuziki kutoka Marekani Rihanna amefunguka kuwa ameumaliza mwaka 2024 bila ya kuonja pombe ya aina yoyote ile.Riri ameyasema hayo kupitia ukurasa wake wa instagram kwa ku-...
Mwanaume mmoja kutoka Afrika Kusini ambaye hajawekwa wazi jina lake ameripotiwa kuwasilisha kesi ya talaka mahakamani baada ya mke wake kupiga picha yenye utata na mkali wa R&...
Tunaweza kusema Desemba 17,2024, imeanza vibaya kwa mwimbaji wa nyimbo za injili nchi Martha Mwaipaja, kufuatia tuhuma alizorushiwa na mdogo wake aitwaye Beatrice Mwaipaja, ak...
Wanamuziki wa Hip Hop ambao walitawala vichwa vya habari duniani kote Drake na Kendrick Lamar wametajwa kuwa ndio wasanii wa Rap walioingiza mkwanja mrefu zaidi mwaka 2024.Kwa...
Kama wewe ni mwajiriwa unayefikiria kuacha kazi, ni muhimu kujua kwamba hatua hiyo siyo tu kuhusu kutoa taarifa ya kuondoka, bali inahusisha kupanga kwa uangalifu ili kuendele...
Na Asma Hamis Wakati baadhi ya watu wakienda kwenye vituo vya huduma za afya kupatiwa matibabu ya macho pale yanapopata matatizo, hiyo ni tofauti katika kijiji cha Crnjev...