Mtayarishaji maarufu kutoka India, Rakesh Roshan ambaye ni baba mzazi wa mwigizaji Hrithik Roshan amemkabidhi kijana wake huyo mikoba ya kuongoza filamu maarufu ya ‘Krri...
Baada ya msanii na mtayarishaji wa Bongo Fleva, Mocco Genius kumshirikisha Marioo kwenye ngoma ya Mi Nawe mwaka 2024 na kufanikiwa kufanya vizuri kwenye chart na majukwaa mbal...
Msanii wa Bongo Fleva, Juma Jux ametangaza kufanya harusi ya kitamaduni na mke wake Priscilla Aprili 17, 2025.Jux ambaye alifunga ndoa na mke wake Priscilla Februari 7, 2025 M...
Msanii wa Bongo Fleva, Jay Melody ametangaza album yake ya pili kukamilika ikiwa ni mwaka mmoja umepita tangu alipoachia album ya kwanza inayofahamika kama Therapy iliyotoka A...
Kama ilivyo kwenye mpira wa miguu ni sifa kwa mchezaji kucheza miguu yote kulia na kushoto. Hata kwenye muziki ni hivyo. Mtayarishaji anayeweza kuimba, kuandaa biti na melodie...
Msanii wa Hip Hop Bongo, Nay wa Mitego alikuja na mtindo wa aina yake kwenye muziki kwa kukosoa wasanii wengine na baadhi ya mambo kwenye tasnia jambo lililompatia umaarufu ku...
Ni miongoni mwa mastaa Bongo waliojaliwa vipaji vingi, hakuna ubishi kuwa Mimi Mars amefanikiwa kutengeneza jina lake katika muziki na filamu kitu kinachomfanya kuwa chapa yen...
Rapa Sean 'Diddy' Combs anakabiliwa na mashtaka mapya ya biashara ya kuuza binadamu na unyanyasaji wa kingono baada ya Joseph Manzaro kudai alifanyiwa unyanyasaji na rapa huyo...
Mwanamuziki Fareed Kubanda (Fid Q) amewapa nafasi mashabiki wake kuchagua ngoma yake ipi aimbe Mei 2, 2025 atakapopanda kwenye jukwaa la Bongo Fleva Honors. Fid Q atafanya sho...
Ni wazi kuwa kwenye mitandao ya kijamii kinachozungumzwa zaidi kwa sasa ni habari ya mwanamuziki Zuchu na mwanadada Rita Norbeth ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa Diamond Platnumz...
Msanii wa muziki nchini, Mr.Blue ambaye mwaka huu anatimiza miaka 22 kwenye kiwanda cha muziki, ametangaza kuachia nyimbo 22 kama zawadi kwa mashabiki wake.Akizungumza na waan...
Mtayarishaji wa muziki nchini Paul Matthysse 'P Funk' amebariki binti yake Paula Paul kubadili dini na kuwa Muislamu huku akimchagulia jina la Sheila.Hayo ni baada ya mwanamuz...
Baada ya miaka mitano akiwa kama Mtangazaji wa Radio, Ray C aliamua kujaribu bahati yake katika Bongofleva, basi sauti yake nzuri, nyembamba na ya kuvutia pamoja na uchezaji w...
Licha ya muziki wake kutaliwa na drama nyingi kutokana na kuwa na uhusiano na Shilole kipindi cha nyuma, hiyo haiondoi ukweli kwamba Nuh Mziwanda ni miongoni mwa wasanii wa Bo...