17
Cardi B amkingia kifua Tyla
‘Rapa’ Cardi B amemkingia kifua msanii Tyla, aliyekabiliwa na ukosoaji katika mitandao ya kijamii baada ya tukio alilolifanya katika usiku wa Tuzo za Muziki za MTV...
13
Billnass afungukia ishu yake, mkewe na Diamond
Mwanamuziki William Lyimo 'Billnass' amesema kabla ya kwenda kwenye tamasha lolote ambalo atakuwa amealikwa kitu cha kwanza ambacho huwa anaangalia maslahi ya tasnia kabla ya ...
11
Mapenzi yalivyowaingiza mastaa wa kike kwenye kiwanda cha Video Queens
Unaweza kuutumia msemo wa "Kwenye mafanikio ya kila mwanaume nyuma yake yupo mwanamke", kutokana na baadhi ya video za nyimbo za w...
04
Billnass na Nandy watambulisha mjengo wao mpya
Mwanamuziki wa Bongo Fleva Nandy amefichua mjengo wao mpya wa kwanza yeye na mumewe Billnass.Kupitia ukurasa wake wa Instagram amechapisha video inayoonesha mjengo huo ikiamba...
03
Billnass tuzo zote duniani zinalalamikiwa
Mwanamuziki Billnass amesema tuzo zote duniani huwa zinalalamikiwa hivyo kwa maoni ambayo yanaendelea kutolewa dhidi ya Tuzo Za Muziki Tanzania yasiwe ya kuvunja moyo."Mimi ni...
14
Mwanasiasa Peter Obi atajwa kuingilia kati ugomvi wa P-square
Mwanasiasa kutoka nchini Nigeria, Peter Obi ameripotiwa kuingilia kati ugomvi wa wanamuziki Paul na pacha wake Peter Okoye, hii ni baada ya kuonekana nyumbani kwa RudeBoy siku...
06
Wanasayansi waunda Nzi kwa kutumia kinyesi cha Binadamu
Timu ya wanasayansi kutoka Chuo Kikuu cha Macquarie cha Australia wameanza harakati kukabiliana na janga la taka duniani ambapo wameamua kuunda Nzi kwa kutumia kinyesi mwenye ...
06
Rudeboy aendelea kutikisa, amnawa mwanasiasa Joe Igbokwe
Mwanamuziki wa Nigeria Rudeboy amemnawa mwanasiasa kutoka chama cha ‘All Progressives Congress’ Joe Igbokwe kutokana na maoni yake kuhusu ugomvi kati ya msanii huy...
01
Dulla Makabila awaomba msamaha Wanasimba
Mwanamuziki wa singeli Dulla Makabila amewaomba radhi mashabiki wa Simba huku akiomba waridhie aweze kutumbuiza katika tamasha la ‘Simba Day’ linalitarajia kufanyi...
31
Biles awatolea povu wanaokosoa nywele zake
Mtaalamu wa mazoezi ya viungo kutoka Marekani Simone Biles amewatolea povu baadhi ya mashabiki waliokuwa wakikosoa mtindo wa nywele zake kwenye mashindano ya Olimpiki 2024.Kup...
16
Miaka miwili ya ndoa, Billnass ajivunia mtoto
Mwanamuziki Billnass ameeleza kuwa katika miaka miwili ya ndoa yake na Nandy, kuna vingi anajivunia lakini kikubwa ni kupata mtoto wa kike."Tunashukuru Mungu kwa kila jema ali...
10
Kanye West atangaza kustaafu muziki
Mwanamuziki wa hip-hop kutoka nchini Marekani, Kanye West ametangaza kustaafu muziki huku akidai kuwa hana uhakika wa kufanya kitu kingine kinachohusiana na muziki. Kanye mwen...
08
Fanya haya kutengeneza sauti yako kwa ajili ya kuimba
Zipo imani nyingi juu ya kutunza sauti kwa ajili ya uimbaji, wapo mwanaodai kuwa mayai na asali ni kati ya vitu muhimu katika kuboresha sauti ili iwe na mvuto. Sambamba na hay...
01
Shilole: Ninafanya makusudi kuongea kingereza
Msanii wa filamu na muziki wa kizazi kipya, Shilole amesema kukosea kwake kuzungumza Kiingereza huwa anafanya makusudi ili watu wacheke. Shilole anayejishughulisha pia na bias...

Latest Post