28
Lil Rod: Diddy na wenzake wananitishia maisha
Siku moja baada ya habari kuvuja kuhusu Diddy kuwasilisha ombi la kufuta kesi ya unyanyasaji wa kijinsia iliyofunguliwa na mtayarishaji Rodney "Lil Rod" Jones, dhidi yake, mta...
13
Chris Brown amuonya Tigo Fariah
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani, Chris Brown amemtolea povu msanii Tigo Fariah anayedaiwa kuiga swaga zake na kujinadi kufanana na staa huyo. Tovuti mbalimbali zimeeleza ku...
20
Dr. Almasi alivyoukataa uzee, ajifananisha na Diddy, Snoop Dogg
Kuzeeka ni mpango wa Mungu ila kuchoka ni kujitakia kauli hii ameitoa Mwigizaji Steven Charles Almasi maarufu kama Dr. Alsmasi baada kuzungumza na Mwananchi Scoop na kufunguka...
10
Maafisa kuchunguza waliomfananisha Lebron na Tumbili
Maafisa elimu Marekani wameingi katika uchunguzi wa bango la ubaguzi wa rangi lililomlinganisha nyota wa NBA, LeBron James na tumbili katika tangazo la chakula cha nafaka liit...
02
Tyla awajibu wanaomfananisha na Rihanna
Japo siyo mbaya mtu kulinganishwa na mtu mwingine lakini kwa mwanamuziki kutoka nchini Afrika Kusini Tyla ameonekana kutopendezwa na suala hilo, hii ni baada ya wadau kuungani...
13
Baada ya Usher nani kukiwasha super bowl 2025
Baada ya mwanamuziki #Usher kukiwasha katika fainali za ‘Super Bowl’ zilizofanyika katika uwanja wa Allegiant, Nevada na sasa imeripotiwa kuwa mwaka 2025 fainali h...
07
Nigeria, DRC, Ivory Coast nani kuchukua taji la AFCON
Bara la Afrika na dunia nzima linasubiri kuona ‘timu’ mbili zitakazoingia kwenye msururu wa mwisho wa Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika #AFCON 2023 huku &lsquo...
31
Kaburi la Mama Megan kulindwa na polisi
Baada ya ‘rapa’ Nicki Minaj na #MeganTheeStallion kuingia katika bifu zito kuhusaina na Nicki kufanya mzaha na kaburi la mama mzazi wa Megan hatimaye inadaiwa kuwa...
04
Davido akubaliana na wanaomfananisha na chura
Baada ya mashabiki na wadau wa muziki kupitia mtandao wa kijamii wa X (twitter) kumtania mkali wa #Afrobeat #Davido kuwa anasauti kama ya chura, #Davido ameamua kukubaliana na...
14
Rapa Flocka amfananinisha Doja Cat na Madonna
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani Waka Flocka amedai kuwa mwanamuziki Doja Cat ndiye Madonna wa zama hizi akimaanisha kuwa maisha anayoishi ‘rapa’ Doja ndi...
29
Baraka: Nimechoka kuonekana mbaya, Nafanyiwa figisu
Msanii wa bongo fleva Barakah The Prince ameendelea kuuwasha moto kupitia mitandaa ya kijamii na leo amedai kuwa ataweka wazi figisu zote alizowahi kufanyiwa toka mwaka 2016. ...
13
Madam Rita: Sina mume wala mchumba, Nahisi wananiogopa
Mkurugenzi wa Bongo Star Search #BSS, #RitaPaulsen maarufu kama Madam Rita, amedai kuwa hana mume wala mchumba anahisi wanaume wanamuogopa. Akizungumza na moja ya chombo cha h...
01
Kocha wa Al Merreikh aifananisha Yanga na Vilabu ya Ulaya
‘Kocha’ wa 'klabu' ya Al Merreikh, OsamaNabih amesema ‘klabu’ ya Yanga SC inacheza kama 'vilabu' vikubwa vya Ulaya na kubainisha kuwa hatashangaa &lsqu...
20
Baba levo: Zuchu ana roho mbaya, Ananiharibia upepo
Ni muda mchache tuu tangu msanii Zuchu kuachia ngoma yake mpya ya ‘Chapati’, msanii mwenzake Baba Levo hakulikalia kimya ametoa ya moyoni huku akimlaumu Zuchu kwa ...

Latest Post