09
Mwongozo madaraja ya muziki Tanzania
Kanuni na miongozo ni jambo muhimu kwenye sekta yoyote kwa lengo la kuepusha upotoshaji na uvunjwaji wa kanuni na sheria iliyowekwa. Nchini Tanzania kumekuwa na malalamiko kut...
08
TBT za mastaa ni hamasa kwa mashabiki
Kila ifikapo siku ya Alhamisi watu hupamba mitandao ya kijamii kwa picha na video za matukio yaliyopita. Matukio hayo hugusa sehemu mbalimbali ikiwemo kwenye michezo, familia ...
25
Nandy asimulia safari yake ya muziki, Amtaja Zuchu
Mwanamuziki wa #BongoFleva #Nandy, amesimulia harakati zake za kupambania ndoto zake za kuwa msanii maarufu huku akidai kuwa kuna msanii kutoka kundi la THT alikuwa akimbania....
25
Will Smith kukiwasha tuzo za Bet
Mwigizaji na ‘rapa’ wa Marekani Will Smith ameripotiwa kurudi tena jukwaani kama mwanamuziki ambapo anatajiwa kutumbuiza katika Tuzo za BET. Katika taarifa iliyoto...
20
Mwanamuziki George Strait avunja rekodi
Mwanamuziki wa Marekani George Strait amevunja rekodi nyingine katika taaluma yake ya muziki kwa kuujaza uwanja na kuifanya show yake hiyo kuweka historia mpya ya mauzo ya &ls...
19
Burna Boy ana jambo lake hivi karibuni
Mkali wa afrobeat kutoka Nigeria, Burna Boy amedai kuwa ngoma yake ijayo ndio itakuwa ngoma bora kushinda ngoma zote zilizotoka mwaka huu. Mwanamuziki huyo ameyasema hayo kwen...
18
Fat Joe: Chris Brown asingejihusisha na mapenzi angekuwa kama MJ
‘Rapa’ mkongwe kutoka nchini Marekani, #FatJoe amedai kuwa #ChrisBrown asingejiingiza kwenye mapenzi angekuwa kwenye kiwango sawa na marehemu #MichaelJackson. Joe ...
16
Sean Paul afunguka kolabo yake na Beyonce ilivyotokea
Mwanamuziki mkongwe kutoka nchini Jamaica, Sean Paul, amefunguka ushirikiano wake na mwimbaji wa pop wa Marekani, Beyoncé ulivyoanzia mpaka ngoma yao ya ‘Baby Boy...
11
Albamu ya Zuchu mbioni kutoka
Baada ya mzalishaji muziki nchini Trone, kuthibitisha ujio wa albamu ya mwanamuziki wa Bongo Fleva Zuchu, sasa msanii huyo amesema imekamilika kwa asilimia 100.Zuchu ametoa ta...
15
Kendrick Lamar amejipata kwenye chati za Billboard
Wakati bifu la wanamuziki kutoka Marekani Drake na Kendrick Lamar likiwa limepowa kwa muda, ‘rapa’ Lamar anaendelea kukimbiza na kuonesha ubabe katika chati za Bil...
07
Tyla ndani ya Met Gala kwa mara ya kwanza
Mwanamuziki kutoka nchini Afrika Kusini Tyla naye amekuwa ni miongoni wa mastaa waliyohudhuria katika usiku wa tamasha la mitindo nchini Marekani liitwalo ‘Met Gala&rsqu...
07
Rihanna aikacha Met Gala 2024
Wakati wadau mbalimbali wakisubiri kuona muonekano wa mwanamuziki Rihanna katika usiku wa tamasha la mitindo duniani ‘Met Gala’ lililofanyika katika ukumbi wa &lsq...
30
Taylor Swift wa moto Billboard, Ajaza ngoma zake
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani Taylor Swift ameutawala mtandao wa Billboard Hot 100, baada ya nyimbo zake 10 kuingia katika chati ya Billboard Top 10, ngoma hizo pia zipo ...
18
Ludacris akumbuka mchango wa Busta
Rapa kutoka nchini Marekani, Ludacris ametoa shukrani kwa #BustaRhymes kwani ndiyo mtu pekee aliyefanikisha atoke kimuziki. Kwa mujibu wa Daily Post News Luda ameweka wazi kuw...

Latest Post