Priscilla Ojo mfanyabiashara na mwigizaji ambaye ni mke halali wa mwanamuziki Juma Jux amefunguka sehemu ambayo amekutana na mume wake huyo akieleza kuwa walikutana Rwanda.&ld...
Mwanamuziki Drake bado anaikomalia kampuni ya Universal Music Group (UMG) ambapo ametoa malalamiko mapya akidai kuwa kampuni hiyo ilitumia onesho la Super Bowl lililofanywa na...
Baraza la Sanaa Taifa (Basata) chini ya Katibu Mtendaji wa Baraza hilo, Dk Kedmond Mapana, leo Aprili 17, 2025 limefanya kikao na Miss Tanzania 2023, Tracy Nabukeera pamoja na...
Mwanamuziki na mwigizaji kutoka Senegal ambaye anaishi Marekani, Akon Thiam amethibitisha kuwa mdogo wake aitwaye Abou "Bu" Thiam alikuwa akimuwakilisha kwenye baadhi ya matam...
Mwigizaji kutoka nchini Afrika Kusini ambaye alipata umaarufu kupitia tamthilia ya Isidingo, Don Nawa amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 66.Taarifa ya kifo chake imethibit...
Mdogo wa marehemu Hawa Hussein (Carina), Saphinewi Salvan amesema dada yake alimuahidi akirudi nchini atawaasili (adopt) watoto wake kisheria.“Tarehe 14 tuliongea sana k...
Mama wa aliyekuwa mwigizaji Hawa Hussein ‘Carina’ amesema uvimbe tumboni ndiyo ugonjwa uliomuua mwanaye.Mama huyo ameiambia Mwananchi kuwa ugonjwa huo umemsumba Ha...
Rapa P Diddy anaripotiwa kuwa kwenye mpango wa kuimarisha safu yake ya mawakili ambao watampambania kwenye kesi zinazomkabili ambapo inatarajiwa kuanza kusikilizwa Mei 5,2025....
Baadhi ya watu maarufu kuokea nchini wamefunga safari kwenda nchini Nigeria kwaajili ya kumuunga mkono msanii wa Bongo Fleva, Juma Jux na mkewe Priscilla ambao wanatarajia kuf...
Mkali wa Bongo Fleva na mmiliki wa Kings Music, Alikiba ameweka wazi hali yake ya mahusiano ya kimapenzi kwa sasa.King ameyasema hayo alipokuwa akifanya mahojiano na waandishi...
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Alikiba ameeleza kwa mara ya kwanza, nini kilisababisha aondoke bila kutumbuiza kwenye usiku wa tuzo za Trace zilizotolewa Zanzibar Februari 2...
Mwigizaji wa filamu nchini, Hawa Hussein Ibrahim (Carina), amefariki dunia leo Aprili 15,2025 akiwa nchini India alikoenda kupatiwa matibabu ya tumbo.Taarifa ya kifo chake ime...
Mwanamuziki Peter Okoye ‘Mr P’ ambaye alikuwa mmoja wa wasanii katika kundi la P-Square, ameibua taharuki baada ya kuwa shahidi katika kesi ya kaka yake Jude Okoye...