31
Atembea na cheti kuthibitisha umri wake
Mwanaume mmoja kutoka nchini #Urusi aliyefahamika kwa jina la Dennis Vashurin mwenye umri wa miaka 36 imemlazimu kutembea na cheti chake cha kuzaliwa kwasababu ya kuthibitisha...
12
Konde faida zaidi ya hasara
Konde Boy anaonekana ana ‘bato’ na Diamond inamsaidia Konde Boy kuliko Diamondi. Kumbuka DMX na Jah Rule ‘bato’ lao lilimsaidia zaidi Jah Rule na kumtu...
29
Naira marley na Sam waonekana mtaani, Baada ya kuachiwa huru
Ikiwa zimepita wiki mbili tangu msanii Naira Marley na ‘promota’ Sam Larry kuachiwa huru baada ya kutimiza masharti ya dhamana ya Naira milioni 20 ambayo ni zaidi ...
13
Kiredio tishio mtaani mahusiano ya watu
Isaaaa Furahii dei yooh,  ni siku ya sisi kukutana na kufurahi pamoja kutokana na burudani ambazo tunazipata kwenye segment hii kupitia jarida letu pendwa la Mwananchi Sc...
25
Mwaka wa kwanza chuoni
Na Magreth BavumaNiaje niaje wakuu karibuni tena kwenye ‘kona’ yetu pendwa ya wanavyuo “unicorner” eneo moja tu linalowakutanisha wajanja wote walioko ...
11
Tory atamani kurudi mtaani, Wanasheria wampambania
Baada ya ombi la kwanza la kutaka dhamana kutoka kwa ‘rapa’ Tory Lanez na kukataliwa, mwanamuziki huyo bado hajakata tamaa inaelezwa kuwa timu yake ya wanasheria i...
09
Nay: Muziki wangu haulengi watu wa mtandaoni
Akizungumza na shirika la habari BBC mwanamuziki wa Hip-hop nchini Nay wa Mitego amedai kuwa muziki wake huwa anawalenga watu wenye hali ya chini kabisa hivyo anachanganyikiwa...
12
Wine yatiririka mtaani baada ya Matenk kupasuka
Wakazi wa mji wa Soa Lorenco De Bairro wapatwa na sintofahamu baada ya kiwanda cha kutengeneza pombe cha Levira kutiririsha wine barabarani huku wakieleza kuwa tukio hilo lime...
04
Kanye na Mkewe wakatiza peku mtaani
Imekuwa kawaida kwa msanii kutoka nchini Marekani, Kanye West kukatiza mitaani akiwa katika muonekano ambao huwaacha wengi vinywa wazi, siku sio nyingi alionekana kukatiza kat...
15
Maisha ya mtaani baada ya kumaliza vyuo vikuu
Na Magreth Bavuma Ouyah!! wanangu wa moyoni eeeeh mambo ni gani, it’s another blessed week karibu nyumbani “unicorner” Tuone ni nini kona yetu imebeba, dua y...
19
NEMC kurudi tena mtaani kufanya ukaguzi
Baada ya kufungia Kumbi (bar) kadhaa za burudani Nchini kutokana na uchafuzi wa mazingira kwa njia ya kelele, Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) linat...
25
AUNTY: KUSAH UKINIACHA UTAZIKUTA NYIMBO ZAKO MTAANI
Ukisikia kimeumana, bwana ndo hii hapa!! staar wa Filamu nchini  Aunty Ezekiel amevunja ukimya  kwa kumchana baba mtoto wake Kusah kwamba endapo atamuacha basi ngoma...

Latest Post