Mwanamuziki na mmiliki wa Lebo ya ‘The African Princess’ Nandy amethibitisha kupokea kiasi cha Sh100 milioni kutoka kwa aliyekuwa msanii wake Yammi kama asante na ...
Lebo ya muziki nchini, Bxtra Record imetoa taarifa kwa umma kufuatia madai yaliyotolewa na msanii wao, Cherry ambaye jana June 9, 2025, alishiriki ujumbe wa wazi kufuatia na m...
Mfanyabiashara Zari The Boss Lady ambaye pia ni mzazi mwenza wa msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz ametia neno kufuatia ndoa ya Zuchu na Simba huku akiwapongeza kwa hatua...
Ikiwa ni wiki ya tano tangu kesi ya mkali wa Hip Hop, Marekani aianze kusikilizwa mashahidi wameendelea kutoa ushahidi wao ambapo siku ya jana Juni 9,2025 aliyekuwa mpenzi wa ...
Marehemu anayefahamika kwa jina la biashara za Lebo Tanzania alizaliwa mwaka 2015 kwa kasi kubwa. Alikuja na nyota ya kupendwa kweli kinoma kwani alipozaliwa tu alikuwa anatre...
Ibrahim ‘Dsquare Fundi’ ambaye ni meneja na DJ wa msanii wa Singeli nchini Mdogo Sajent ameeleza anayoyapitia msanii huyo kufuatia maneno ya watu kuwa hajui kuimba...
Rapa maarufu na mwenye ushawishi zaidi ulimwenguni kwasasa, Kendrick Lamar ameibuka kinara katika Tuzo za BET zilizofanyika usiku wa kuamkia leo Juni 10, 2025, hafla inayotamb...
Msanii wa Bongo Fleva nchini, Abigail Chams, ameweka historia kwa kuipeperusha bendera ya Taifa katika jukwaa kubwa la BET Awards 2025 usiku wa kuamkia leo Juni 10, 2025, huko...
Mwigizaji na mchekeshaji kutoka nchini Chatu Mandota ambaye kwa sasa anashiriki kwenye tamthilia mpya ya Vacation inayoongozwa na Jacob Steven ‘JB’ amewataka baadh...
"Zuchu hata asingekuwa msanii wa Bongo Fleva angetokea tu mitaa ya pale kama msanii wa Singeli na bado angekuwa staa, anajua sana kuimba Singeli."Hii ni kauli aliyoitoa hivi k...
Msanii wa Bongo Fleva, Mbosso ameweka wazi kwamba Juni 12, 2025 ataachia Ep yake inayokwenda kwa jina la ‘Room Number 3’.Kabla ya kuweka wazi jambo hilo, kwa siku ...
Timu ya wanasheria wa Sean “Diddy” Combs, imeomba kesi inayomkabili rapa huyo kufutwa au kusitishwa kutokana na mapungufu katika ushahidi uliotolewa na baadhi ya w...
Juni 6, 2025, katika Mahakama ya Shirikisho ya Manhattan, kesi ya jinai dhidi ya mwanamuziki Sean "Diddy" Combs iliendelea kwa ushahidi wa kushtua kutoka kwa aliyekuwa mpenzi ...