Mwanamuziki kutoka South Africa, Tyla ameachia kionjo cha ngoma yake mpya ambayo itakuwa katika album yake inayotarajiwa kutoka Ijumaa ya tarehe 22 mwaka huu.Kupitia ukurasa w...
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani #ASAPRock amefunguka mbele ya mashabiki juu ya ujio wa Album mpya ya mpenzi wake #Rihanna baada ya kuulizwa na mashabiki nchini Ufaransa.
Kw...
Mwanamuziki kutoka nchini #Nigeria, #Davido, ameingia katika teknolojia ya kutengeneza mtandao wa kijamii ‘Chatter’ambapo utajihusisha na mwaliko maalum kwa ubunif...
Mwanamuziki kutoka nchini #Canada #TheWeeknd atangaza kutoa albumu yake mpya hivi karibuni ingawa bado hajaweka wazi jina la albumu hiyo.
The Weeknd amethibi...
Ndege kutoka Shirika la #Alaska iliyokuwa ikisafiri kutokea Jimbo la Oregon kuelekea California nchini Marekani, siku ya Ijumaa usiku ililazimika kutua kwa dharura baada ya se...
Aliyekuwa mke wa Haji Manara, Rushaynah ameeleza kuwa kwa sasa hayupo tayari kuolewa na mwanaume yeyote yule.
Rushaynah ameyaeleza hayo baada ya shabiki kumtakia kheri kwenye ...
Inadaiwa kuwa ‘klabu’ ya #ManchesterUnited kwa sasa ipo kwenye hatua nzuri ya kuwasainisha mikataba mipya ‘mastaa’ wao #VictorLindelof na Aaron Wan-Bis...
Mwanamuziki kutoka nchini #Marekani, #KanyeWest inadaiwa kuwa na mpango wa kuipunguza ‘kolabo’ aliyoifanya na #NickiMinaj katika albumu yake ya ‘VULTURES&rsq...
Kama tunavyojua ‘Klabu’ ya Simba kwa sasa bado haina furaha baada ya juzi kuendeleza ilipoishia kwa kuanza kinyonge Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi ikilaz...
Aliye kuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa ‘klabu’ ya #ManchesterUnited, #RichardArnold amejiuzulu baada ya miaka 16 ya utumishi wake ‘klabuni’ hapo.
Inadaiwa k...
Msanii wa muziki nchini #Rayvanny ametangaza ujio wa Project yake mpya kabla ya mwaka kuisha, aliyoipa jina la ‘FIVE FOR YOU (5.4.U)’.
Project hiyo mpya Vanny Boy ...
Inadaiwa kuwa ‘klabu’ ya #AlNassrFC ya #SaudiArabia imefanya mazungumzo na nyota wa #Ureno, #CristianoRonaldo juu ya nyongeza ya mkataba mpya wa kuendelea kusalia ...