16
Utafiti: Kumshika mkono umpendaye ni njia ya kunapunguza maumivu
Kwa mujibu wa Utafiti wa Pavel Goldstein kutoka chuo kikuu cha Colorado, Boulder, unaeleza kuwa kushikana mikono na mtu unayempena na kumjali kunauwezekano mkubwa wa kupunguza...
07
Msichana anayechora kwa kutumia miguu na mikono
Tumezoea kuona wachoraji wakitumia mkono wa kulia ama kushoto kuchora picha lakini kwa mrembo #Rajacenna van Dam, maarufu kama Rajacenna ameendelea kuwavutia wengi kupitia mit...
27
Hali ya bishara za nguo msimu huu wa sikukuu
Kama tunavyojua ni mwisho wa mwaka na kuna sikukuu kadhaa hapo mbele, ambapo watu wengi hujumuika pamoja kula, kunywa na kuvaa nguo mpya, kama ilivyo ada MwananchiScoop tumeam...
13
Uvaaji wa bangili za culture unavyoongeza mvuto zaidi
Naam!! nikukaribishe tena kwenye magazine yetu ya Mwananchi Scoop katika segment yetu pendwa ya Fashion kama kawaida yetu hapa lazima tuangazie urembo na mitindo mbalimbali. L...
07
Robertinho awekwa kikaangoni, Kipigo cha Yanga
Kocha mkuu wa ‘Klabu’ ya Simba Roberto Oliveira 'Robertinho' anatajwa kukalia kuti kavu kutokana na matokeo ya ‘mechi’ iliyochezwa juzi kwenye Uwanja w...
06
Unapataje kazi bila kushikwa mkono
Connection, conection, conection, nimeiita mara tatu waungwana, ni maatumaini yangu wote mnaelewa maana ya hili neno maana waswahili wanasema hata kazi ya kufagia barabarani i...
10
Kylie Jenner aungwa mkono na shirika la Israel
Baada ya baadhi ya watu kuchukiza na kitendo cha  mfanyabiashara Kylie Jenner kwa kuonekana akiiunga mkono nchi ya Israel hatimaye amepata utetezi kutoka kwa mashirika ya...
10
Licha ya kuachana, Sophie achora ‘tattoo’ ya Drake
Mama mtoto wa ‘rapa’ kutoka nchini Canada, Drake, Sophie Brussaux ameendelea kuonesha upendo kwa msanii huyo hadi kufikia hatua ya kuchora ‘tattoo’ ya ...
09
Kylie Jenner apoteza mashabiki kwa kuiunga mkono Israel
Mrembo Kylie Jenner amejikuta akipoteza wafuasi wake katika ukurasa wake wa Instagram baada ya kuweka ‘posti’ kupitia InstaStory yake ikionesha anaiunga mkono ...
02
Fahyvanny: Kama mume wako hajakuchora tattoo pole
Mpenzi wa mwanamuziki #Rayvanny, #Fahyvanny awajia juu wanaotoa maneno baada ya Rayvanny kumchora tattoo mkononi. Fahyvanny amewataka watu kupunguza makasiriko huku akiwapa po...
30
Whozu: Nimeyatimba, kama mama mkwe hakukubali nyoosha mkono
Kufuatia na kitendo kilichoteka usiku wa kuamkia jana katika birthday ya Wema, baada ya mama yake, kueleza kuwa anakasirishwa na kitendo cha Whozu kutokufuata taratibu za ndoa...
08
Drake aonesha mahaba mazito kwa mwanaye
Msanii kutoka nchini Marekani Drake anaendelea kuonyesha mapenzi mazito kwa mtoto wake wa kiume Adonis, kwa kuchora tattoo mpya shingoni ya jina la mtoto huyo. Ikumbukwe hiyo ...
25
Mwanasheria nguli mwenye ulemavu wa mkono
Na Christina Joseph Mambo vipi watu wangu wa nguvu si mnaelewa ule msemo usemao asiyefanya kazi na asili? Basi tufahamu kwamba kazi ni muhimu. Leo kwenye upande wa kazi nimeon...
22
Kakolanya apewa mkono wa kwaheri Simba
Klabu ya Simba tayari imeachana na watu 8 kwenye benchi la ufundi na wachezaji na leo mtu wa 9 kuachana nae kikosini hapo ni golikipa namba mbili, Beno Kakolanya. Kakolanya a...

Latest Post