01
Messi azungumzia kustaafu kwake
Licha ya kuwa mchezaji wa Inter Miami Lionel Messi, atafikisha miaka 37 mwezi Juni, amefunguka kuwa atastaafu soka, muda ambao atahisi hawezi tena kufanya vizuri zaidi kwenye ...
29
Cr7 afungiwa mechi moja
Mchezaji wa ‘timu’ ya Taifa ya Ureno na ‘klabu’ ya #AlNassr kutoka Saudi Arabia, Cristiano Ronaldo amefungiwa ‘mechi’ moja ikiwa kama adhab...
23
Messi ndiye mwanasoka anayependwa zaidi Marekani
Mchezaji wa ‘timu’ ya Taifa ya Argentina na ‘klabu’ ya Inter Miami Lionel Messi anatajwa kuwa ndiye mwana-soka anayefuatiliwa na kupendwa zaidi nchini ...
22
Messi akabidhi tuzo ya Ballon D or kwenye makumbusho ya Barcelona
Mchezaji wa ‘timu’ ya Taifa ya Argentina Lionel Messi ameonesha kuwa uhusiano wake na ‘klabu’ yake ya zamani ya Barcelona hauwezi kuvunjika, baada ya k...
16
Messi mchezaji bora wa FIFA 2023
Baada ya kuwa mchezaji aliyetafuta zaidi kupitia mitandao ya kijamii katika nchi mbalimbali kwa mwaka 2023 na sasa mchezaji wa ‘timu’ ya Taifa ya Argentina na &lsq...
02
Messi akistaafu hatoruhusiwa mchezaji mwingine kuvaa jezi namba 10
Chama cha Soka cha Argentina (AFA) kimepanga kustaafisha 'jezi' namba 10 ya Lionel Messi ambayo awali ilikuwa ikivaliwa na Diego Maradona. Mipango ya kuistaafisha 'jezi' hiyo ...
27
Messi aongoza kutafutwa zaidi mtandaoni 2023
Nyota wa ‘timu’ ya Taifa ya #Argentina na ‘klabu’ ya Inter Miami kutoka Marekani, #LionelMessi ameibuka kinara kwa kuwa ndiye mchez...
23
Suarez kukipiga timu moja na Messi
Mshambuliaji wa zamani wa ‘klabu’ ya Liverpool na Barcelona Luis Suarez amekamilisha usajili wake na ‘timu’ Inter Miami kutoka nchini Marekani.Suarez a...
19
Messi kukutana na klabu yake ya utotoni
Mchezaji wa ‘klabu’ ya #InterMiami, #LionelMessi anatarajiwa kukutana na ‘klabu’ yake ya utotoni, #Newell’sold Boys ya #Argentine, katika ‘...
12
Messi na Ronaldo kukutana Februari 1
Baada ya kuzuka tetesi kuhusiana na ‘klabu’ ya Inter Miami kuingia dimbani na ‘timu’ ya Al Nassr, sasa uvumi huo umethibitishwa kuwa ukweli, ambapo mia...
02
Wanasoka wanaomiliki ndege binafsi zenye thamani zaidi
Baadhi ya watu maarufu duniani wamekuwa wakitamani na wengine kuwekeza kwenye umiliki wa ndege binafsi, wapo baadhi ya wanamuziki ambao tayari wanamikili vyombo hivyo vya usaf...
27
Kumbe Messi hajamsaliti mkewe
Familia na watu wakaribu wa mchezaji wa ‘klabu’ ya #InterMiami #LionelMessi, wamekanusha vikali taarifa inayodaiwa kuwa mchezaji huyo amemsaliti mke wake #Antonela...
22
Mechi ya Brazil na Argentina ilivyozua balaa
‘Mechi’ iliyochezwa jana Jumanne ya kufuzu Kombe la Dunia 2026 kati ya Brazil na Argentina iliingia dosari baada ya kucheleweshwa kuanza na kuwafanya mashabiki kua...
21
Jezi sita za Messi kuuzwa bilioni 25
‘Jezi’ sita alizozivaa mchezaji kutoka ‘Klabu’ ya Inter Miami, Lionel Messi katika kombe la dunia akiwa na ‘timu’ yake ya Taifa ya Argentin...

Latest Post