11
Lady Gaga alivyotinga vazi lililotengenezwa kwa nyama
Ubunifu ni kati ya kitu muhimu kwa wasanii kama njia ya kuwapa utambulisho na kuwafanya waendelee kujitengenezea utofauti. Ili kuwa na utofauti wapo waliowekeza ubunifu kwenye...
08
TBT za mastaa ni hamasa kwa mashabiki
Kila ifikapo siku ya Alhamisi watu hupamba mitandao ya kijamii kwa picha na video za matukio yaliyopita. Matukio hayo hugusa sehemu mbalimbali ikiwemo kwenye michezo, familia ...
18
Davido kama Drake
Mkali wa Afrobeat kutoka nchini Nigeria Davido ameamua kufuata nyayo za ‘rapa’ Drake baada ya kumlipia mwanafunzi mkopo wa shule. Mwanafunzi huyo alinyanyua bango ...
08
Matukio ya kupotea waandishi wa habari, Yalivyozima ndoto ya mwigizaji John
Na Aisha Charles Wakizungumziwa waigizaji wa Bongo movie wanaokosha mashabiki kwa kuvaa uhusika kwenye kazi zao za uigizaji ni ngu...
21
Davido kutoa msaada kwa wenye uhitaji
Mkali wa Afrobeat kutoka nchini #Nigeria, #Davido ametangaza kuwa atachangia Naira milioni 300 ambazo ni sawa na tsh 500 milioni kwenye vituo vya watoto yatima vilivyopo nchin...
27
Matukio ya unyanyasaji yanavyochafua majina ya mastaa
Ukiangalia kwa jicho la kawaida na kufikiria kwa haraka  unaweza kudhani ni miyeyusho ya mashabiki kutaka kupita na upepo wa mastaa kwa kuwabambikizia kesi za unyanyasaji...
12
Vilivyoongoza kutafutwa kwenye mtandao wa Google 2023
Mwaka 2023 ukiwa unaelekea kukatika mtandao wa Google tayari umetoka matukio yaliyoongoza kutafutwa kwenye mtandao huyo. Google imetoa matukio hayo katika sekta mbalimbali iki...
10
50 Cent mbioni kuandaa filamu kuhusu matukio ya P diddy
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani #50cent yupo mbioni kuandaa filamu itakayohusu matukio ya unyanyasaji wa kingono yanayomkabili #PDiddy. 50 Cent amesema kuwa mapato y...
30
Mashabiki washambulia basi la wachezaji kwa mawe
‘Mechi’ kati ya ‘klabu’ ya #OlympiqueMarseille dhidi ya ‘klabu’ ya #OlympiqueLyon imeghairishwa baada ya basi la Lyon kushambuliwa kwa mawe...
25
Ijue sheria juu ya haki na wajibu wa wafanyakazi wa kazi za ndani
Ama kweli mambo ni mengi muda ni mchache, ni wiki nyingine tena tunakutana hapa kwenye segment ya kazi chimbo pekee tunakusogezea mambo mbalimbali kuhusiana na ajira. Na leo n...
22
Shabiki atolewa uwanjani kwa kumbagua Vinicius
Mchezaji wa ‘klabu’ ya #RealMadrid, Vinicius Junior ametoa pongezi kwa ‘klabu’ ya #Sevilla kwa kuchukua hatua za haraka za kumtoa uwanjani na ‘ku...
07
Kai ashikiliwa na polisi kwa kugawa playstation
Mtayarishaji wa maudhui aliyejipatia umaarufu mkubwa kupitia  mitandao ya kijamii kama #TikTok, #Instagram, #YouTube pamoja na #Twitch kutoka Marekani Kai Cenat, ameshiki...
10
Drake afanyiwa vurugu jukwaani
Msanii kutoka nchini Marekani Drake alishambuliwa jukwaani wakati akiperform wimbo wa ‘So Anxious’ kwa kurushiwa viatu, simu na nguo kutoka kwa mashabiki, katika u...
02
Wanaorekodi matukio na kuyarusha mitandaoni waache
Kauli hiyo imetolewa na  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  ambapo amewataka wanaorekodi matukio na kuyarusha mitandaoni kuacha tabia hiyo.  “Nitoe wito kwa Ja...

Latest Post