19
Champion Sound ya Davido ndio Amapiano inayosikilizwa zaidi
Mtandao wa #Spotify umetangaza wimbo wa mwanamuziki kutoka nchini Nigeria #Davido  ‘Champion Sound’ aliyomshirikisha  msanii kutoka Afrika Kusini #Focali...
14
Rais wa FecaFoot atuhumiwa kupanga matokeo
Rais wa Shirikisho la soka Cameroon (Fecafoot), Samuel Eto’o, aitwa na shirikisho la soka Afrika (CAF) April 17 kujieleza kuhusiana na tuhuma za upangaji wa matokeo na u...
21
Kivumbi leo Stars kukipiga na Zambia
Baada ya kuanza vibaya ‘mechi’ ya kwanza ya kundi F ya fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) kwa kufungwa mabao 3-0 na Morocco, ‘timu’ ya taifa...
16
Jose Mourinho atimuliwa kisa matokeo mabaya
‘Klabu’ ya #ASRoma wamemfuta kazi aliyekuwa ‘kocha’ wa ‘timu’ hiyo #JoseMourinho, baada ya kufungwa bao 3-1 na ‘klabu’ ya ...
28
Shearer aishauri Newcastle kumsajili De Gea
Baada ya ‘klabu’ ya #NewcastleUnited kupokea kipigo cha bao 3-1 dhidi ya #NottinghamForest, mchezaji wa zamani wa Newcastle #AlanShearer ameishauri ‘klabu&rs...
27
Simba yaanza ukurasa mpya
Afisa Habari wa ‘klabu’ ya #Simba, #AhmedAlly amewataka mashabiki waongeze imani kwa ‘timu’ hiyo licha ya kupata matokea yasiyoridhisha  hivi kari...
19
Bruno akanusha kutimkia Saudi Arabia
Baada ya kusambaa kwa taarifa kuwa mchezaji #BrunoFernandes huenda akatimkia nchini #SaudiArabia mwisho wa msimu, staa huyo amekanusha na kusema anajisikia furaha kuendelea ku...
14
Yanga yaweka bango njia ya Simba
Baada ya kuifunga ‘klabu’ ya Simba mabao 5-1, ‘timu’ ya Yanga imeamua kuweka bango karibu na uwanja wanaofanyia mazoezi Simba. Bango hilo lenye matokeo...
13
Mashabiki wajeruhiwa uwanjani
Mashabiki 11 wa ‘soka’ wamejeruhiwa baada ya fataki kurushwa wakati wa ‘mechi’ ya #Bundesliga kati ya ‘klabu’ #Augsburg na ‘klabu&rsq...
06
Matokeo ya Yanga kicheko kwa Zamaradi, Amshukuru Hersi
Zamaradi Mketema aendelea kuonesha furaha aliyonayo baada ya mchezo wa jana Simba kutandikwa bao tano na Yanga, kutokana na furaha hiyo Zamaradi ametoa shukrani kwa Rais wa Ya...
01
‘Kocha’ wa Geita Gold kikaangoni
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mji Geita, #ZaharaMichuzi amemtaka ‘kocha’ mkuu wa ‘timu’ ya #GeitaGold, #HemediSuleiman, kufika ofisini kwake kw...
12
Waliofutiwa matokeo ya kidato cha nne waruhusiwa kurudia mitihani
Na Asha CharlesWizara ya elimu, Sayansi na Teknolojia imetoa idhini ya kurudia mtihani kwa wanafunzi 337 waliofutiwa matokeo yao ya  kidato cha nne kwa mwaka 2022 baada y...
07
Obi adai kulazimishwa kuondoka nchini
Peter Obi ambaye alishika nafasi ya 3 katika Matokeo ya Urais yaliyotangazwa na Tume ya Uchaguzi nchini Nigeria amesema amekuwa akilazimishwa kuondoka nchini humo. Licha ya k...
28
Tume ya uchaguzi yatuhumiwa kutokuwa na uwazi katika matokeo
Vyama vya Upinzani vya PDP na Labor Party Nchini Nigeria vimesusia mchakato wa Utangazaji Matokeo kwa madai kuwa Tume Huru ya Uchaguzi (INEC) imeonesha kuwepo kwa uchakachuaji...

Latest Post