Mama mzazi wa mwanamuziki Beyoncé, Tina Knowles ameeleza jinsi alivyo na wasiwasi juu ya changamoto ambazo wajukuu wake wanakumbana nazo kutokana na umaarufu wa familia...
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amezindua mfumo wa Usimamizi na Uendeshaji Kazi za Sanaa unaojulikana TAUSI wa OR-TAMISEMI na AMIS wa BASATA ambao unaunganisha Baraza la Sanaa Tan...
Peter AkaroTofauti na Tanzania, rekodi lebo nyingi za wasanii hasa nje ya bara la Afrika, zimekuwa na utamaduni wa kuingia makubaliano ya kufanya kazi na lebo kubwa ambazo zin...
Na Michael Anderson
Adui mkubwa wa maisha ya mtu ni woga. Na woga husababishwa na hofu, ambayo ni kiashilia cha kukutaka uwemakini.
Hofu inapatikana kwenye kitengo cha ...
Maeneo mengi kwa sasa yanakubwa na mvua. Hivyo ukiwa mdau wa fasheni siyo vizuri kutoka kishamba hata kama mvua inanyesha. Zingatia mitindo hii katika msimu huu wa mvua. ...
Wakati waumini wa dini ya Kiislamu wakiwa wamemaliza mfungo na kula Eid, waumini wa Kikristo bado wanaendelea na mfungo. Hivyo tumewasogezea jinsi ya kutengeneza kitafun...
Mkali wa Afrobeat kutoka Nigeria, Davido ametangaza kufanya harusi nyingine ya ‘White Wedding’ jijini Miami nchini Marekan mwezi Agosti mwaka huu.Davido ameyasema ...
Msanii wa Bongo Fleva, Juma Jux ambae ametikisa mitandao ya kijamii Afrika kutokana na harusi yake iliyofanyika nchini Nigeria akifunga ndoa na Priscilla, na sasa tukio hilo l...
Mwanamuziki na mfanyabiashara Kanye West ameonesha kuwa na wasiwasi katika malezi ya watoto wake ambao wanalelewa katika familia ya aliyekuwa mke wake Kim, ‘The Kardashi...
Waandaji wa Tuzo za ‘The Academy Awards’ 'Oscars' wamefanya mabadiliko kuelekea msimu ujao wa tuzo hizo. Huku wakianzisha sheria mpya kwa wapigaji kura p...
Mwili wa aliyekuwa mratibu wa mashindano ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga, umezikwa leo Aprili 22,2025 katika makaburi ya familia, Kidatu, mkoani Morogoro. Mazishi ya Lu...
Baada ya mwanamuziki Juma Jux kuitikisa Nigeria kwa sherehe ya harusi na mkewe Priscilla. Sasa sherehe nyingine inatarajiwa kufanyika Mei 28,2025 hapa nchini.Harusi hiyo inayo...
Mwanamuziki kutoka Nigeria, Wizkid ameripotiwa kuwa mmoja wa wasanii ambao muziki wao unajiuza wenyewe bila kiki wala matangazo yoyote.Katika moja ya mahojiano aliyowahi kuyaf...
Mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini, Diamond amepokea maua yake huku akitajwa kuwa msanii tajiri Afrika na kuwazidi mastaa wakubwa na wenye majina kutoka Nigeria.Kwa mujibu wa m...