07
Mixtape ya marehemu Rich Homie yashika namba 1 Apple Music
Mixtape ya marehemu mkali wa Hip Hop kutoka Marekani Rich Homie Quan iitwayo ‘I Promise I Will Never Stop Going In’ imeripotiwa kushika namba moja kwenye mtandao w...
28
Tamasha la kuwakumbuka wasanii marehemu Septemba 7
Kwa mara ya kwanza nchini kutakuwa na tamasha la kuwakumbuka wasanii waliotangulia mbele ya haki linaloitwa ‘Faraja ya Tasnia’ liliandaliwa na mwigizaji na Mwenyek...
05
Mama Kim Kardashian afanyiwa upasuaji
Baada ya mfanyabiashara na mama mzazi wa Kim Kardashian, Krish Jenner kudai kuwa anatatizo la kiafya, sasa mwanamama huyo ameweka wazi kuwa kutokana na tatizo hilo amefanyiwa ...
18
Ngoma iliyomleta mjini marehemu Costa Titch yazidi kukimbiza Youtube
Wimbo wa marehemu mwanamuziki kutoka Afrika Kusini Costa Titch wa ‘Big Flexa’ umeendelea kukimbiza kupitia mtandao wa ...
08
Teknolojia ya kuwakutanisha marehemu na ndugu zao
Shirika la Utangazaji la Munhwa (MBC) nchini Korea limezindua teknolojia mpya itakayo saidia familia kukutana tena na watu wao wa karibu waliyofariki dunia.Ili kutilia maanani...
18
Ben afunguka kinachokwamisha Bongo movie, Amtaja Kanumba
Na Aisha Charles Waswahili husema vya kurithi vinazidi, hivi ndivyo naweza kumuelezea mwigizaji wa Bongo movie Abduli Ahmadi Salumu maarufu kama Ben au Selengo, ambaye naweza ...
18
Aingia na maiti benki ili apate mkopo
Mwanamke mmoja kutoka nchini Brazil aitwaye, Érika de Souza Vieira ameshikiliwa na polisi baada ya kupeleka maiti ya mjomba wake Paulo Roberto Braga (68) benki ili kwen...
16
Apokea maua ya valentine kutoka kwa marehemu mumewe
Kuna msemo usemao mapenzi ya kweli hayajifichi, msemo huu unajidhihirisha kwa mwanamama Diana Maver, (77) ambaye anaendelea kupokea zawadi za maua katika siku ya Valentine kut...
06
Rayvanny ndani ya studio ya MJ
Baada ya kuhudhuria na kushuhudia ugawajwi wa Tuzo za Grammy 66, zilizofanyika nchini Marekani siku ya Jumapili, mwanamuziki Rayvanny ameendeleza ziara yake nchini humo na sas...
05
Aliyewahi kuwa mpiga Besi wa bendi ya Bob Marley afariki
Aliyekuwa mwanamuziki wa nyimbo za #Raggae kutoka nchini Jamaica #AstonBarrett, maarufu kama ‘Family Man’ amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 77. Mwanamuziki hu...
24
Baba wa marehemu Amy awashitaki marafiki wa mwanaye
Baba wa aliyekuwa mwanamuziki marehemu #AmyWinehouse amewafungulia mashitaka marafiki wawili wa mtoto wake kwa  kuuza mali za mwanaye kwa kutumia majina yao mwaka 2021. &...
16
Uwoya amkumbuka marehemu mumewe
Muigizaji mkongwe kutoka nchini #IreneUwoya amevunja ukimya na kueleza kuwa jana ilikuwa ni siku ngumu sana katika maisha yake huku aki-posti picha ya marehemu mumewe mchezaji...
01
Michael Jackson ndiye anayeingiza maokoto mengi
Mfalme wa Pop Duniani Michael Jackson ameongoza orodha ya #Forbes ya watu mashuhuri 13 waliofariki wanaolipwa pesa nyingi zaidi, ambapo mapato yeke yanayokadiriwa kuwa dola 11...
04
Marehemu aliyehifadhiwa kwa miaka 128 kuzikwa week hii
Yamekuwa yakitokea matukio kwa baadhi ya miili ya watu kuchelewa kuzikwa baada ya kufariki kutokana na sababu mbalimbali kama vile za kifamilia, uchunguzi na nyinginezo. Mwaka...

Latest Post