15
Mandonga afungiwa kushiriki ngumi
Baada ya bondia #KareemMandonga kuingia ulingoni mfululizo bila kupata mapumziko ambayo yataweza kumuweka ‘fiti’ kwaajili ya mapambano mengine, bondia huyo hatoshi...
30
Mandonga apokea kichapo kutoka kwa Moses
Bondia Karim Mandonga amekalishwa tena kwa kupokea kichapo kutoka kwa bondia wa Uganda, Moses Golola. Bondia  Golola amemtoa Mandonga njee ya mchezo kwa technical knock o...
23
Mandonga apokea kichapo Kenya
Bondia Karim Mandonga  akili kupokea kipigo kutoka kwa Bingwa wa Zamani wa Mkanda wa #Africa Boxing Union (ABU), Daniel Wanyonyi kutoka nchini Kenya. Wanyonyi amemdunda #...
20
Mandonga: Simfahamu Mwakinyo
Bondia kutoka nchini Tanzania Karim Mandonga, kupitia mahojiano yake na moja ya chombo cha habari amedai kuwa hamfahamu bondia Hassan Mwakinyo.Mandonga amesema hayo baada ya k...
08
Mandonga:Ukinichukia nachukua nyota yako
Ebwana eeeh!!! Kama unavyofahamu bondia huyo aishiwi maneno bwana na mara nyingi huwa na misemo mbalimbali ikiwemo ngumi mchomo, ndoige safafari hii kana hilo jipya. Aloooo!!!...
21
Mandonga: ndoige ni kama palapanda haimuachi mtu salama
Hahahhaa! Make hapa kwanza nchekee, sio powa kabisa yule Mandonga mtu kazi bwana amefunguka na kusema kuwa safari hii amekuja kivingine na kutambulisha ngumi yake mpya inaitwa...
30
Mandonga mtu kazi apata dili nono, Kigoma
Nyie nyie ama kweli nimeamini kila mja na nyota yake bwana, lakini kwa bondia huyu naona yake inazidi kuwaka kila siku, bondia maarufu nchini Karim Mandonga ambae alipata umaa...
29
Mandonga mtu kazi aja kivingine
Weeeuuweeee! I hope mko good watu wangu wa nguvu na natumai wote mmehesabiwa eeeh, habari nzuri bwana ni kutoka  kwa mtu kazi baada ya kuonesha uwezo alionao licha ya kuw...
22
Huyu sasa ndo Mandonga mtu kazi
Aloooooh! Bwana bwana nani kamuona mandonga akiwa ulingoni sio powa yani mwamba anangumi za maana, mtu kazi amemchapa mpinzani wake Mussa Omary kwa 'KO' kwenye round ya kwanza...
12
Mandonga: Nilitamani kujinyonga kisa mapenzi
Bondia maarufu ambae alipata umaarufu huo baada ya kushindwa mpambano wake ameeleza kuwa kwenye upande wa mapenzi aliwahi kutamani kujinyonga kisa mapenzi kwa jinsi ambavyo al...
12
Mandonga mtu kazi: mke wangu huwa ananiogesha
Hahahahahha! Make hapa kwanza ncheke, ety mwenzetu nawewe unaogeshwa na mkeo au tukuache kidogo, basi bwana yule bondia ambae amepata umaarufu hivi karibuni anaefahamika kwa j...
10
Mandonga mtu kazi amjibu Shabani Kaoneka
Alooooooooh! Wasawahili wanasema vita ni vita hahahaha! Make hapa  kwanza ncheke basi bwana ukiachana na swala la simba kuna hili balaa jingine huko mjini Instagram watu ...
09
Shabani Kaoneka alia na Mandonga kutembelea nyota yake
Duuuuuuuh! Katika jambo la kuskitisha bwana yule bondia alieshinda katika mpambano ulifanyika hivi karibuni, Shabani Kaoneka ameamua kufunguka mazito baada ya kuona watu wengi...
08
Mandonga mtu kazi amuelewa Hamisa Mobeto
Hahahahahah! Make hapa kwanza ncheke bwana bwana mtu kazi kumbe sio ngumu tuu hadi kwenye kuimba yumo alooooh!, basi bwana bondia huyo ametoa mpya na kusema kuwa anamzimikia m...

Latest Post