26
Je wajua Mamba anauwezo wa kuzaa bila dume
Wana sayansi kutoka nchini Marekani, wamethibitisha kuwa mamba ni mmoja kati ya wanyama ambao wana uwezo wa kupata ujauzito na kuzaa bila ya mamba dume. Kwa mujibu wa tovuti m...
13
Mamba mweupe rangi nyeupe apatikana
Siku zote waswahili wanasema ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni, na msemo huu unajidhihirishia kwa mamba huyu mweupe ambaye ni nadra sana kuonekana. Kulingana na ripoti k...
02
Mchezaji Chucho amezwa na mamba
Mchezaji wa ‘timu’ ya Deportivo Rio Canas kutoka nchini Costa Rica, Jesus Alberto Lopez maarufu kama Chucho (29) anadaiwa kufariki baada ya kumezwa na #Mamba mtoni...
03
Meya Mexico afunga ndoa na Mamba
Meya wa mji mdogo wa Mexico aliefahamika kwa jina la Victor Hugo Sosa, amefunga ndoa na mamba katika tambiko la miaka mingi la mavuno ambapo mchumba wake huyo alitambulika kwa...
29
Mfugaji auwawa kwa kutafunwa na mamba
Mfugaji wa mamba huko kaskazini mwa Cambodia amechanwa vipande vipande na Zaidi ya mamba 40 baada ya kuangukia kwenye sehemu walipofungiwa, polisi wamesema. Luan Nam, mwenye ...
03
Utumbo wa nguruwe wamponza kijana Paulo
Kijana mmoja alietambulika kwa jina la Paulo mapunda mkazi wa kijiji cha kipingu Wilaya ya Ludewa Mkoani Njombe anasurika kifo baada kukatwa mguu wake wa kulia na Mamba wakati...
05
Meya Afunga Ndoa na Mamba
Ama kweli ukistaajabu ya mussa utayaona ya firauni, leo bwana kwenye zilizotrend mitandaoni ni kutokanana tukio la kustaajabisha limetokea huko San Pedro nchini Ufilipino amba...
11
Jackson Nyamambaya: kazi ya content creator imevutiwa na mimi
Kujiongeza na kujitambua, kujituma ndiyo mambo makuu matatu yatakayomsaidia kijana kuhakikisha anafanya kile ambacho amekikusudia kwenye maisha yake. Nikwambie tu kwa miaka ya...

Latest Post